Sasa husemi ni tsh ngap unadhan utapataje watejaWakuu habari za usiku huu? kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nimekosea kufanya muamala kutoka crdb nikatuma kama muda wa maongezi na sijaunga kifurushi.
Nimewapigia crdb bank wameniambia hawawezi kurudisha, msaada tafadhali mwenye kuweza kubadilisha muda wa maongezi kuwa pesa, natanguliza shukrani.
poleWakuu habari za usiku huu? kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nimekosea kufanya muamala kutoka crdb nikatuma kama muda wa maongezi na sijaunga kifurushi.
Nimewapigia crdb bank wameniambia hawawezi kurudisha, msaada tafadhali mwenye kuweza kubadilisha muda wa maongezi kuwa pesa, natanguliza shukrani.
Airtel money mkuu.Wa kampuni gani?
Kiasi gani?
Nashkuru kwa ushauri mkuu.Haiwezekani kamweee ..
Nenda kwa mawakala uuze kwa hasara
Inauma sana mkuu, acha tu.Pole sana mkuu kibongo bongo hapo ndo wanapokwama hakuna namna ya kurudisha muda wa maongezi kurudi kua pesa
Mkuu ni 145,000/Sasa husemi ni tsh ngap unadhan utapataje wateja
Pole sana mkuuI
Inauma sana mkuu, acha tu.
Hii inakera sana mkuuPole sana mkuu kibongo bongo hapo ndo wanapokwama hakuna namna ya kurudisha muda wa maongezi kurudi kua pesa
Muamala ndo nini?Wakuu habari za usiku huu? kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nimekosea kufanya muamala kutoka crdb nikatuma kama muda wa maongezi na sijaunga kifurushi.
Nimewapigia crdb bank wameniambia hawawezi kurudisha, msaada tafadhali mwenye kuweza kubadilisha muda wa maongezi kuwa pesa, natanguliza shukrani.