Nimekosea wapi ndugu zangu msaada, nifanyaje?

Kama yeye hajawahi sema ni tatizo wewe kiherehere cha nini? Pengine anarizika!
Mkuu hii hari kwasasa nitofauti sana sio kiherehere, nipotofauti mkuu ata yeye namwonatofauti tunapokuwa faragha.
 
Umefanya sahihi kabisa,wanawake ni watu ambao wakipenda mahali huwa hawataki kutafakari,ila shida yao kubwa ni pale mnapokuwa mmeowana huwa wanabadilika sijui huwa ni vishawishi au ni nini,leo hii anaweza kukubaliana na wewe kuishi katika hali ulionayo lakini ukashangaa baada ya kuoa anaanza kashfa na vituko akipondea hali uliyonayo,kwahiyo ni afadhali umemwambia mapema na ikiwezekana achana naye kwani iko siku atakutenda nawe tayari uko kwenye ndoa.
 
Asante inspector shamba ushari wako ntaufanyia kazi mkuu nashukuru sana.
 
Dah asante sana sana kwa ushauri wako nashukuru sana mkuu
 
Pole sana mkuu. Tatizo ni kwamba hajapokea huo ukweli. Kwa mtazamo wangu anaona unamdanganya na unatafuta sababu ya kumwacha
Anahisi hivyo malimingiii nisingeweza kujifanyisha hata kidogo, nampenda sana ni bonge na demu shepu, sura na nimchapa kazi yupo vizuri napat hofu ndugu yangu.
 
Kaka ndio hormones haziko sawa, very low testostereno. Msaada pls.
 
Anaitafuta 27 mwezi october.
 

Piscine habari za leo........pole sana rafiki yangu mpendwa, tatizo lako linatibika sawa sawa na kurudi kwa hali yako ya kawaida ndani ya mwizi mmoja na utakuwa umetibu tatizo lako kabisa na kuweza kuoa na kupata watoto wa familia yako...
TAFADHARI SOMA HII THREAD YANGU HAPA CHINI, ALAFU UKILIZIKA NA MAELEZO NITAFUTE TUSHAURIANE RAFIKI...
Haya hapa ni matibabu yake wapendwa
Hello Dear friends and everyone ...........some people have sexual potency problems in their relationship and marriage too, this is due to different facts such as High stress, hormonal problems,and others do affect sexual desire and ability.....Do not worry about it, I'm here to recover this problem
Here are some of our products you can you to recover from sexual potency problems
1. VIG POWER CAPSULES, Here are some of it's functions (a ) Conserves the vital power and strengthens the sexual ability through replenishing kidney (b ) Increases sperm count and improves sperm mobility (c ) Increases sexual desire of men, enhances the Oxygen content in blood which helps in penis erection for normal sexual performance. (d ) Helps with sexual dysfunctions such as premature ejaculation, erectile dysfunction or frequent spermatorrhea.
2. ZINC TABLES, Here are some of it's functions. (a ) Essential for optimal physical performance and energy levels. (b ) for protein synthesis and proper function of red and white blood cells. (C ) Participates in synthesize of more than 200 metalloprotease and nucleic acid. (D ) Enhances immunity and accelerates would healing. (e )Supports reproductive system of men and women and helps with infertility....
WENYE MATATIZO YA NDOA NA UHUSIANO WA KIMAPENZ KWA SABABU YA UPUNGUFU WA TENDO LA NDOA AU KUTOWEZA KUFANYA TENDO LA NDOA , HILO TATIZO LINATIBIWA NA KUONDOKA KABISA NA KURUDISHA HESHIMA YAKO YA NDOA AU UHUSIANO WAKO WA KIMAPENZI KATIKA UBORA WAKE NA MVUTO PIA.............KWA PAMOJA KILA TATIZO TWAWEZA LITATUA KAMA TUTAPATA TAARIFA KAMILI NA MATIBABU SAHIHI.....ASANTENI SANA
FOR MORE DETAILS CALL ME BY 0654158574/0765353056/0684974811
..................................................WE SHARE, WE CARE.......WELCOME
 

Attachments

  • 1440043830865.jpg
    54.6 KB · Views: 80
pole sana mkuu, pamoja na tiba zote lakini tiba ya kwanza ni ya kisaikolojia ili uweze kupata utulivu wa kutafuta tiba sahihi.

tumia muda mwingi sana kufanya mazoezi na lishe bora , kuanzia sahivi epuka vyakula vya kukaangwa, kula michemsho, mbogamboga, matunda , maji yakutosha, ili mwili uwe na nguvu uweze kujitibu.

nakushauri sana utumie miti shamba sana huwa inasaidia watu wengi mno.
huku unapiga msosi bora
 
Ndugu pole sana, hebu nitafute kwa 0718265581, 0686907486 tuongee kwa undani zaid nione namna ya kukusaidia. Hili tatizo linatatulika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…