Ushauri please,
Mimi na mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa miaka kama 2 sasa. Kwa zaidi ya mwaka nimekuwa na matatizo ya erection na kukosa hamu kabisa ya mapenzi.
Nashindwa kabisa kumaintain erection, nimekwenda hospital nimeambiwa testosterone imeshuka sana, nimepewa dawa lakini wapi mambo ni yale yale.
Natamani kuoa lakini kwajinsi hari yangu ilivyo namuonea huruma mtoto wa watu ataishi maisha gani na mimi kwenye hari hii. Huwa inatokea nashindwa kuperform sometime dudu ikisima hata dakika haichukui inalala msichana huwa ananicheka tuu! nimehama hadi nilipokuwa naishi iliniwe mbali nae lakini bado hunifuata.
Nilimkimbia ilikama anamtu apate nafasi ya kuwa nae, na azione tofauti zilizopo then atafanya maamuzi sahihi.Herbal clinic nimezunguka mpaka nimechoka, naona napoteza pesa zangu tu.Yani mapenzi kwangu imekuwa ya kuvizia tu.
Sasa jana kaniuliza unakuja lini kujitambulisha nyumbani?
Ikabidi ni mwambie kwanza kunajambo naomba tuonge, nikamwambia kuhusu hili tatito langu nijue anasemaje juu yahili? Majibu yake sasa,amekasirika anasema nimemuharibia maisha, kama nimepata mtu sinimwambie tu.amenitakia maisha mema pia anasema hata nitafuta tena tenaaa.Amekasirika hataki kupokea simu yangu wala kujibu text zangu.
Nimekosea wapi ndugu zangu? Nilitaka kuliweka sawa hili ndo mambo mengi yafuate sikuwa na maana mbaya kwasababu na mpenda kiukweli.Nasoma humu jinsi wanawake wanavyolalamika kwenye ndoa zao nilitaka kumuweka tayari kwa hilo.
Ushauri ndugu zangu nini chakufanya kumpenda nampenda sana tuu
Piscine habari za leo........pole sana rafiki yangu mpendwa, tatizo lako linatibika sawa sawa na kurudi kwa hali yako ya kawaida ndani ya mwizi mmoja na utakuwa umetibu tatizo lako kabisa na kuweza kuoa na kupata watoto wa familia yako...
TAFADHARI SOMA HII THREAD YANGU HAPA CHINI, ALAFU UKILIZIKA NA MAELEZO NITAFUTE TUSHAURIANE RAFIKI...
Haya hapa ni matibabu yake wapendwa
Hello Dear friends and everyone ...........some people have sexual potency problems in their relationship and marriage too, this is due to different facts such as High stress, hormonal problems,and others do affect sexual desire and ability.....Do not worry about it, I'm here to recover this problem
Here are some of our products you can you to recover from sexual potency problems
1. VIG POWER CAPSULES, Here are some of it's functions (a ) Conserves the vital power and strengthens the sexual ability through replenishing kidney (b ) Increases sperm count and improves sperm mobility (c ) Increases sexual desire of men, enhances the Oxygen content in blood which helps in penis erection for normal sexual performance. (d ) Helps with sexual dysfunctions such as premature ejaculation, erectile dysfunction or frequent spermatorrhea.
2. ZINC TABLES, Here are some of it's functions. (a ) Essential for optimal physical performance and energy levels. (b ) for protein synthesis and proper function of red and white blood cells. (C ) Participates in synthesize of more than 200 metalloprotease and nucleic acid. (D ) Enhances immunity and accelerates would healing. (e )Supports reproductive system of men and women and helps with infertility....
WENYE MATATIZO YA NDOA NA UHUSIANO WA KIMAPENZ KWA SABABU YA UPUNGUFU WA TENDO LA NDOA AU KUTOWEZA KUFANYA TENDO LA NDOA , HILO TATIZO LINATIBIWA NA KUONDOKA KABISA NA KURUDISHA HESHIMA YAKO YA NDOA AU UHUSIANO WAKO WA KIMAPENZI KATIKA UBORA WAKE NA MVUTO PIA.............KWA PAMOJA KILA TATIZO TWAWEZA LITATUA KAMA TUTAPATA TAARIFA KAMILI NA MATIBABU SAHIHI.....ASANTENI SANA
FOR MORE DETAILS CALL ME BY 0654158574/0765353056/0684974811
..................................................WE SHARE, WE CARE.......WELCOME