Nimekota parcel ina milion 9 ndani na kadi ya benki

Huna adabu kijana...
 
Isingekuwa ndoto ingekuwa ni gahawa
Kwanza pesa zina harufu ungejua kuwa ni pesa before hujafungua
Lakini kuhesabu milion9 taslimu choo cha baa ni kipengele ukiwa na wenge la hiyo hela huwezi hesabu ukamaliza


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
We itakuwa sio mzoefu wa kushika pesa ndefu....wale teller wa benk wanahesabu hizo dk 2 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…