Nimekua na uraibu wa sauna muda mrefu sana

Nimekua na uraibu wa sauna muda mrefu sana

dump

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2020
Posts
642
Reaction score
958
Habari zenu ndungu zanguni, Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,naomba Daktari anisaidie kuhusu kitu kinacho itwa SAUNA.

Najua wengi tunafahamu kuhusu SAUNA,nimekua na uraibu wa sauna mda mrefu sana,nikiwa mapumzikoni jioni lazima niende nikatoke jasho.

Je, Madaktari mnasemaje kuhusu hii kitu haina madhara na kama ina madhara ni yapi?.
 
Habari zenu ndungu zanguni, Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,naomba docters wanisaidie kuhusu kitu kinacho itwa SAUNA.

Najua wengi tunafahamu kuhusu SAUNA,nimekua na uraibu wa sauna mda mrefu sana,nikiwa mapumzikoni jioni lazima niende nikatoke jasho.

Je? DDICTERS mnasemaje kuhusu hii kitu haina madhara na kama ina madhara ni yapi.
Hata Mimi sijaelea yaani SAUNA unasauliwa au wanakusaula
 
Haina tatizo kiafya..kwa sababu mwili wa mwanadamu hutoa takamwili kupitia sehemu ya haja kubwa,haja ndogo, na vinyweleo...kwa hiyo unapotoa jasho jingi pia unapunguza taka mwili....madaktari kutoka muhimbili na bugando wanaweza kuongezea kidogo...wale madaktari uchwara kutoka kcmc , saint francis, na udom kaeni mbali msije mkauwa wagonjwa😂😂😂
 
Haina tatizo kiafya..kwa sababu mwili wa mwanadamu hutoa takamwili kupitia sehemu ya haja kubwa,haja ndogo, na vinyweleo...kwa hiyo unapotoa jasho jingi pia unapunguza taka mwili....madaktari kutoka muhimbili na bugando wanaweza kuongezea kidogo...wale madaktari uchwara kutoka kcmc , saint francis, na udom kaeni mbali msije mkauwa wagonjwa😂😂😂
Asant mkuu
 
Jitahidi upunguze siku za kufanya at least tatu kwa week na usizidishe zaidi ya nusu saa ukienda hii ni kwa mujibu wa ushauri wa wataalam. Binafsi nafanya ivo. Zaidi ya yote kunywa Maji mengi sana na epuka matumizi ya pombe kabla na baada ya session ya sauna
 
Habari zenu ndungu zanguni, Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,naomba Daktari anisaidie kuhusu kitu kinacho itwa SAUNA.

Najua wengi tunafahamu kuhusu SAUNA,nimekua na uraibu wa sauna mda mrefu sana,nikiwa mapumzikoni jioni lazima niende nikatoke jasho.

Je? Madaktari mnasemaje kuhusu hii kitu haina madhara na kama ina madhara ni yapi?.

Sisi wengine kila nyumba tuna Sauna, muda wowote mtu ukijisikia unazama sauna kwasababu ina faida nyingi kiafya,
 
Jitahidi upunguze siku za kufanya at least tatu kwa week na usizidishe zaidi ya nusu saa ukienda hii ni kwa mujibu wa ushauri wa wataalam. Binafsi nafanya ivo. Zaidi ya yote kunywa Maji mengi sana na epuka matumizi ya pombe kabla na baada ya session ya sauna
[/QUO]Shukurani
 
Ok hua kuna chumba ambacho ukiingia ndani kuna joto sana,unatoka jasho jingi sana kwa mda mfupi,kuielezea zaidi hapo kuna kazi kidogo.
Ni kama yale ya kujifkiza pale mhimbili?
 
Sisi wengine kila nyumba tuna Sauna, muda wowote mtu ukijisikia unazama sauna kwasababu ina faida nyingi kiafya,
Niliwahi kuiona hoteli moja kubwa sana ya kitalii kule serengeti. Four season safari.

niliingia humo nikakaa kama dakika 1. nilienjoi hilo joto😅😅
 
Haina tatizo kiafya..kwa sababu mwili wa mwanadamu hutoa takamwili kupitia sehemu ya haja kubwa,haja ndogo, na vinyweleo...kwa hiyo unapotoa jasho jingi pia unapunguza taka mwili....madaktari kutoka muhimbili na bugando wanaweza kuongezea kidogo...wale madaktari uchwara kutoka kcmc , saint francis, na udom kaeni mbali msije mkauwa wagonjwa😂😂😂
Kwani hao madaktari wengine wana shida gani mkuu, au ndo dharau za kirejareja.......
 
Habari zenu ndungu zanguni, Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,naomba Daktari anisaidie kuhusu kitu kinacho itwa SAUNA.

Najua wengi tunafahamu kuhusu SAUNA,nimekua na uraibu wa sauna mda mrefu sana,nikiwa mapumzikoni jioni lazima niende nikatoke jasho.

Je, Madaktari mnasemaje kuhusu hii kitu haina madhara na kama ina madhara ni yapi?.
Ni sauna tu au kuna vingine humo sauna?
 
Siyo kwamba ni ego, kwamba wahitimu wa MUHAS ndo wanajiona orijino.......kuna kipindi walikuwa wanawakandia wale waliosoma urusi.
Niko huku mkuu hawa watu ninawajua vizuri...mavyuo kama kcmc na privates nyingine huwa wanawamezesha zaidi practical lakini theory wako hovyoo sana...hivyo vyuo viwili nilivyokutajia mkuu shule yake huwa ni nondo..mfano ukiona umeweza kutoboa masters ya internal medicine bugando au muhimbili basi wewe ni jembe popote pale...
 
Haina tatizo kiafya..kwa sababu mwili wa mwanadamu hutoa takamwili kupitia sehemu ya haja kubwa,haja ndogo, na vinyweleo...kwa hiyo unapotoa jasho jingi pia unapunguza taka mwili....madaktari kutoka muhimbili na bugando wanaweza kuongezea kidogo...wale madaktari uchwara kutoka kcmc , saint francis, na udom kaeni mbali msije mkauwa wagonjwa😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Naona umeweka avator ya mzee wa "kipigo cha mbwa koko". Sasa hivi atakuwa amestaafu anakula pensheni yake kiulaini au kiugumu.
 
Back
Top Bottom