zukisa
Member
- Feb 8, 2017
- 47
- 28
Habari za sahizi wana JF na poleni na majukumu ya kutwa nzima leo.
Naombeni msaada katika hili.
Nimekua nikipata muwasho sana kwenye mapaja baada ya kuvua suluari/tight na nikiwa najikuna natokewa na vipele kama vile vya kung’atwa na mbu. Nimetumia dawa aina ya SONADEM lakini naona tatizo bado linaendelea.
Msaada tafadhali [emoji17][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada katika hili.
Nimekua nikipata muwasho sana kwenye mapaja baada ya kuvua suluari/tight na nikiwa najikuna natokewa na vipele kama vile vya kung’atwa na mbu. Nimetumia dawa aina ya SONADEM lakini naona tatizo bado linaendelea.
Msaada tafadhali [emoji17][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app