Tunauliza hivi mbona leo umekuwa mstaarabu??? Lazima uufyate kwa sababu barabara ya Nairobi-Nakuru ina lami ya zamani na mashimo kibao, niliwahi fika huko nikalala pale Bontana Hotel, Nakuru padogo vipi unalinganishaje Nakuru na Tabora????
Annael Jee??
Hivi kule Isevia bado kuna yale mambo flani mpaka leo..?Barabara ya kuanzia Manyoni kwenda Tabora ukiacha ile ya kupitia Singida, nusu yake nakisia kama kilomita 150km (equivalent of Nairobi to Nakuru) haijatiwa lami, ni vumbi tupu. Na kuna maeneo yenye makazi ya watu pembezoni. Hapo vumbi balaa, kiasi kwamba unatamani kuona hata ishara ya lami.
Lakini yote tisa, Tabora pazuri watu wa pale wakarimu na hawana hulka za kibaguzi, wageni tukifika tunafanya biashara zetu kwa amani na kugeuza bila matatizo. Hali ya hewa nzuri, vyakula vitamu maana vinatokea moja kwa moja shambani. Japo maji kwenye mabomba hotelini ni tatizo kama ilivyo mikoa mingine kama Morogoro.
Japo nilipata raha pale Isevia, watu wa Tabora humu JF watanielewa nikitaja Isevia.
View attachment 497627
View attachment 497628
MK254 amekuwa very clear, sijui hujamwelewa wapi, hata kama ni kumchukia jirani, not to that effect!Wewe ni mwongo nahisi hujafika huko umesimuliwa,
Hicho kipande ni km80, halafu sio kuanzia manyoni, ni mbele ya Itigi ndio hicho kipande kimeanzia,
Halafu kama huftaki vumbi ungepita Singida-Nzega-Tabora, ungefurahia mkeka saaafi kabisa.
Uachage majungu.
Nahuyu piaAnnael Jee??
itakuwa wewe ni mwendawazimu...unalinganisha Nakuru na taka?Tunauliza hivi mbona leo umekuwa mstaarabu??? Lazima uufyate kwa sababu barabara ya Nairobi-Nakuru ina lami ya zamani na mashimo kibao, niliwahi fika huko nikalala pale Bontana Hotel, Nakuru padogo vipi unalinganishaje Nakuru na Tabora????
Barabara ya kuanzia Manyoni kwenda Tabora ukiacha ile ya kupitia Singida, nusu yake nakisia kama kilomita 150km (equivalent of Nairobi to Nakuru) haijatiwa lami, ni vumbi tupu. Na kuna maeneo yenye makazi ya watu pembezoni. Hapo vumbi balaa, kiasi kwamba unatamani kuona hata ishara ya lami.
Lakini yote tisa, Tabora pazuri watu wa pale wakarimu na hawana hulka za kibaguzi, wageni tukifika tunafanya biashara zetu kwa amani na kugeuza bila matatizo. Hali ya hewa nzuri, vyakula vitamu maana vinatokea moja kwa moja shambani. Japo maji kwenye mabomba hotelini ni tatizo kama ilivyo mikoa mingine kama Morogoro.
Japo nilipata raha pale Isevia, watu wa Tabora humu JF watanielewa nikitaja Isevia.
View attachment 497627
View attachment 497628
Sasa barabara ya kati ilivyoharibika na mvua za Elnino 1998 ilikuwa mtu unatoka Dar - Arusha - Nairobi - Kisii - Kisumu - Kampala mpaka Bukoba (24hours upo kwenye gari, non stop labda mpakani hasa upande wetu wa Tanzania kama umefika kabla ya saa 12 asubuhi.Kuna watu wanaishi Nakuru na wanafanya kazi Nairobi, yaani gari ukiichezea kwenye 100km/h halafu bararabara yenyewe imenyooka mbona Nairobi unafika ndani ya muda mchache sana.
Aisei Tanzania ni kubwa, binafsi nimetembelea mikoa yenu mingi, yaani nalala na kuamka na kulala mara kadhaa na hatufiki, madereva wenu wa mabasi wana nguvu sana, halafu huwa naona kuna polisi wana zile radar za kukamata taarifa za kasi, hivyo inabidi dereva asafiri taratibu kwenye chini ya 80km/h.
Hivi Barabara ya Nairobi NakuruTunauliza hivi mbona leo umekuwa mstaarabu??? Lazima uufyate kwa sababu barabara ya Nairobi-Nakuru ina lami ya zamani na mashimo kibao, niliwahi fika huko nikalala pale Bontana Hotel, Nakuru padogo vipi unalinganishaje Nakuru na Tabora????
Dereva ndio huwa na dashboard lakini kwa abiria inabidi kukisia. Anyway nimeelewa kuwa ni 80km
Isevya mkuu, barabara hiyo ya vumbi ni mwendo wa saa moja na dakika sita kwa mwendo wa basi.Barabara ya kuanzia Manyoni kwenda Tabora ukiacha ile ya kupitia Singida, nusu yake nakisia kama kilomita 150km (equivalent of Nairobi to Nakuru) haijatiwa lami, ni vumbi tupu. Na kuna maeneo yenye makazi ya watu pembezoni. Hapo vumbi balaa, kiasi kwamba unatamani kuona hata ishara ya lami.
Lakini yote tisa, Tabora pazuri watu wa pale wakarimu na hawana hulka za kibaguzi, wageni tukifika tunafanya biashara zetu kwa amani na kugeuza bila matatizo. Hali ya hewa nzuri, vyakula vitamu maana vinatokea moja kwa moja shambani. Japo maji kwenye mabomba hotelini ni tatizo kama ilivyo mikoa mingine kama Morogoro.
Japo nilipata raha pale Isevia, watu wa Tabora humu JF watanielewa nikitaja Isevia.
View attachment 497627
View attachment 497628
Huyu KIUMBE sasa hivi atakuwa anafaidi Watoto zetu. Yaani hadi wamemfunza Kinyamwezi... Mwangaluka/Mwandila.
Na mimi ngoja nifanye juu chini nikishughulikie Kidada cha Kikenya.
Mie sina la kusema zaidi ya kukuambia "MSULA EVE..."
Karibu sana Tabora ila SIKONGE upishie mbali π
Sikonge kuna nin mbona unamtisha sana sababu wote n wanyamwezHuyu KIUMBE sasa hivi atakuwa anafaidi Watoto zetu. Yaani hadi wamemfunza Kinyamwezi... Mwangaluka/Mwandila.
Na mimi ngoja nifanye juu chini nikishughulikie Kidada cha Kikenya.
Mie sina la kusema zaidi ya kukuambia "MSULA EVE..."
Karibu sana Tabora ila SIKONGE upishie mbali π
Huwa unakuja Tabora mara kwa mara mkuu??Barabara ya kuanzia Manyoni kwenda Tabora ukiacha ile ya kupitia Singida, nusu yake nakisia kama kilomita 150km (equivalent of Nairobi to Nakuru) haijatiwa lami, ni vumbi tupu. Na kuna maeneo yenye makazi ya watu pembezoni. Hapo vumbi balaa, kiasi kwamba unatamani kuona hata ishara ya lami.
Lakini yote tisa, Tabora pazuri watu wa pale wakarimu na hawana hulka za kibaguzi, wageni tukifika tunafanya biashara zetu kwa amani na kugeuza bila matatizo. Hali ya hewa nzuri, vyakula vitamu maana vinatokea moja kwa moja shambani. Japo maji kwenye mabomba hotelini ni tatizo kama ilivyo mikoa mingine kama Morogoro.
Japo nilipata raha pale Isevia na Oxygen, watu wa Tabora humu JF watanielewa nikitaja Isevia.
View attachment 497627
View attachment 497628
Sikonge kuna nin mbona unamtisha sana sababu wote n wanyamwez
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nikumanyire mngosha, lugha huleta ushemeji...hehehehe!!
Ipo siku unikaribishe Sikonge, sitaharibu mambo. Japo niliishia mjini mjini, natumai unapajua Oxygen na WhatsApp maana hayo maeneo niliserebuka balaa.
WAOOOO! Karibho ku ntobhora. Karibu tena, tena na tena jisikie uko nyumbani.Hehehehe!! Mbona mimi mstaarabu siku zote...
Tatizo mkitembelewa na mgeni mnataka ataje mazuri yote bila doa hata moja, nikitaja doa mnatiririka povu.