Nimekua Tabora, pazuri ila nimelishwa vumbi, Afrika tusichekane

Nimekua Tabora, pazuri ila nimelishwa vumbi, Afrika tusichekane

Tunauliza hivi mbona leo umekuwa mstaarabu??? Lazima uufyate kwa sababu barabara ya Nairobi-Nakuru ina lami ya zamani na mashimo kibao, niliwahi fika huko nikalala pale Bontana Hotel, Nakuru padogo vipi unalinganishaje Nakuru na Tabora????

Samahani huku hatujadili mambo ya kuskia vijiweni maana ni dhahiri hujafika Nakuru wewe, au hujatumia hiyo barabara ya Nakuru-Nairobi, nafikiri hata Watanzania wenzio waliowahi kufika huko wanakushangaa na kunyamaza kwa jinsi unavyotia aibu.
 
Barabara ya kuanzia Manyoni kwenda Tabora ukiacha ile ya kupitia Singida, nusu yake nakisia kama kilomita 150km (equivalent of Nairobi to Nakuru) haijatiwa lami, ni vumbi tupu. Na kuna maeneo yenye makazi ya watu pembezoni. Hapo vumbi balaa, kiasi kwamba unatamani kuona hata ishara ya lami.

Lakini yote tisa, Tabora pazuri watu wa pale wakarimu na hawana hulka za kibaguzi, wageni tukifika tunafanya biashara zetu kwa amani na kugeuza bila matatizo. Hali ya hewa nzuri, vyakula vitamu maana vinatokea moja kwa moja shambani. Japo maji kwenye mabomba hotelini ni tatizo kama ilivyo mikoa mingine kama Morogoro.

Japo nilipata raha pale Isevia, watu wa Tabora humu JF watanielewa nikitaja Isevia.

View attachment 497627

View attachment 497628
Hivi kule Isevia bado kuna yale mambo flani mpaka leo..?
 
Wewe ni mwongo nahisi hujafika huko umesimuliwa,
Hicho kipande ni km80, halafu sio kuanzia manyoni, ni mbele ya Itigi ndio hicho kipande kimeanzia,
Halafu kama huftaki vumbi ungepita Singida-Nzega-Tabora, ungefurahia mkeka saaafi kabisa.
Uachage majungu.
MK254 amekuwa very clear, sijui hujamwelewa wapi, hata kama ni kumchukia jirani, not to that effect!
 
Tunauliza hivi mbona leo umekuwa mstaarabu??? Lazima uufyate kwa sababu barabara ya Nairobi-Nakuru ina lami ya zamani na mashimo kibao, niliwahi fika huko nikalala pale Bontana Hotel, Nakuru padogo vipi unalinganishaje Nakuru na Tabora????
itakuwa wewe ni mwendawazimu...unalinganisha Nakuru na taka?
 
Barabara ya kuanzia Manyoni kwenda Tabora ukiacha ile ya kupitia Singida, nusu yake nakisia kama kilomita 150km (equivalent of Nairobi to Nakuru) haijatiwa lami, ni vumbi tupu. Na kuna maeneo yenye makazi ya watu pembezoni. Hapo vumbi balaa, kiasi kwamba unatamani kuona hata ishara ya lami.

Lakini yote tisa, Tabora pazuri watu wa pale wakarimu na hawana hulka za kibaguzi, wageni tukifika tunafanya biashara zetu kwa amani na kugeuza bila matatizo. Hali ya hewa nzuri, vyakula vitamu maana vinatokea moja kwa moja shambani. Japo maji kwenye mabomba hotelini ni tatizo kama ilivyo mikoa mingine kama Morogoro.

Japo nilipata raha pale Isevia, watu wa Tabora humu JF watanielewa nikitaja Isevia.

View attachment 497627

View attachment 497628


Lkn Kenya kwa Definition ni middle income country maana yake ni kwamba Kenya siyo nchi masikini, Tanzania yetu bado ni least developed country hivyo bado tuna matatizo ya nchi masikini, sasa sioni kuna shida gani kuelewa hapo!
Kwa hali ya kawaida Kenya haikupaswa kuwa na barabara kama hiyo ya kwetu ulioiweka hapo!
 
Kuna watu wanaishi Nakuru na wanafanya kazi Nairobi, yaani gari ukiichezea kwenye 100km/h halafu bararabara yenyewe imenyooka mbona Nairobi unafika ndani ya muda mchache sana.

Aisei Tanzania ni kubwa, binafsi nimetembelea mikoa yenu mingi, yaani nalala na kuamka na kulala mara kadhaa na hatufiki, madereva wenu wa mabasi wana nguvu sana, halafu huwa naona kuna polisi wana zile radar za kukamata taarifa za kasi, hivyo inabidi dereva asafiri taratibu kwenye chini ya 80km/h.
Sasa barabara ya kati ilivyoharibika na mvua za Elnino 1998 ilikuwa mtu unatoka Dar - Arusha - Nairobi - Kisii - Kisumu - Kampala mpaka Bukoba (24hours upo kwenye gari, non stop labda mpakani hasa upande wetu wa Tanzania kama umefika kabla ya saa 12 asubuhi.

Advantage ya Kenya, mji mkuu wa Kibiashara / Serikali (Nairobi) upo kama katikati kiaina hivyo tripu zote zinaanzia pale kwenda sehem zingine za nchi tofauti na sie barabara imenyooka kilometa kibao kuitafuta Dar na magari mengi yanatoka mikoani yanaingia hivyo kwa siku abiri wengi wanatembea kilometa nyingi kinoma
 
Tunauliza hivi mbona leo umekuwa mstaarabu??? Lazima uufyate kwa sababu barabara ya Nairobi-Nakuru ina lami ya zamani na mashimo kibao, niliwahi fika huko nikalala pale Bontana Hotel, Nakuru padogo vipi unalinganishaje Nakuru na Tabora????
Hivi Barabara ya Nairobi Nakuru
Nairobi-Nakuru-Highway-wesride-destination.jpg
 
Huyu KIUMBE sasa hivi atakuwa anafaidi Watoto zetu. Yaani hadi wamemfunza Kinyamwezi... Mwangaluka/Mwandila.

Na mimi ngoja nifanye juu chini nikishughulikie Kidada cha Kikenya.

Mie sina la kusema zaidi ya kukuambia "MSULA EVE..."

Karibu sana Tabora ila SIKONGE upishie mbali 🙂
Dereva ndio huwa na dashboard lakini kwa abiria inabidi kukisia. Anyway nimeelewa kuwa ni 80km
 
Barabara ya kuanzia Manyoni kwenda Tabora ukiacha ile ya kupitia Singida, nusu yake nakisia kama kilomita 150km (equivalent of Nairobi to Nakuru) haijatiwa lami, ni vumbi tupu. Na kuna maeneo yenye makazi ya watu pembezoni. Hapo vumbi balaa, kiasi kwamba unatamani kuona hata ishara ya lami.

Lakini yote tisa, Tabora pazuri watu wa pale wakarimu na hawana hulka za kibaguzi, wageni tukifika tunafanya biashara zetu kwa amani na kugeuza bila matatizo. Hali ya hewa nzuri, vyakula vitamu maana vinatokea moja kwa moja shambani. Japo maji kwenye mabomba hotelini ni tatizo kama ilivyo mikoa mingine kama Morogoro.

Japo nilipata raha pale Isevia, watu wa Tabora humu JF watanielewa nikitaja Isevia.

View attachment 497627

View attachment 497628
Isevya mkuu, barabara hiyo ya vumbi ni mwendo wa saa moja na dakika sita kwa mwendo wa basi.
 
Huyu KIUMBE sasa hivi atakuwa anafaidi Watoto zetu. Yaani hadi wamemfunza Kinyamwezi... Mwangaluka/Mwandila.

Na mimi ngoja nifanye juu chini nikishughulikie Kidada cha Kikenya.

Mie sina la kusema zaidi ya kukuambia "MSULA EVE..."

Karibu sana Tabora ila SIKONGE upishie mbali 🙂

Nikumanyire mngosha, lugha huleta ushemeji...hehehehe!!

Ipo siku unikaribishe Sikonge, sitaharibu mambo. Japo niliishia mjini mjini, natumai unapajua Oxygen na WhatsApp maana hayo maeneo niliserebuka balaa.
 
Huyu KIUMBE sasa hivi atakuwa anafaidi Watoto zetu. Yaani hadi wamemfunza Kinyamwezi... Mwangaluka/Mwandila.

Na mimi ngoja nifanye juu chini nikishughulikie Kidada cha Kikenya.

Mie sina la kusema zaidi ya kukuambia "MSULA EVE..."

Karibu sana Tabora ila SIKONGE upishie mbali 🙂
Sikonge kuna nin mbona unamtisha sana sababu wote n wanyamwez
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Barabara ya kuanzia Manyoni kwenda Tabora ukiacha ile ya kupitia Singida, nusu yake nakisia kama kilomita 150km (equivalent of Nairobi to Nakuru) haijatiwa lami, ni vumbi tupu. Na kuna maeneo yenye makazi ya watu pembezoni. Hapo vumbi balaa, kiasi kwamba unatamani kuona hata ishara ya lami.

Lakini yote tisa, Tabora pazuri watu wa pale wakarimu na hawana hulka za kibaguzi, wageni tukifika tunafanya biashara zetu kwa amani na kugeuza bila matatizo. Hali ya hewa nzuri, vyakula vitamu maana vinatokea moja kwa moja shambani. Japo maji kwenye mabomba hotelini ni tatizo kama ilivyo mikoa mingine kama Morogoro.

Japo nilipata raha pale Isevia na Oxygen, watu wa Tabora humu JF watanielewa nikitaja Isevia.

View attachment 497627

View attachment 497628
Huwa unakuja Tabora mara kwa mara mkuu??
 
Sikonge pako poa kabisa. Gongo na nyama mwitu kwa wingi.

Mashombe wa Kiarabu na Wanyamwezi wenyewe wamependeza kabisa. Karibu tu wewe.

Inabidi nimtishe kidogo ili nione kama kweli kapenda au mpiga bakora na kulala mbele. Heheheee
Sikonge kuna nin mbona unamtisha sana sababu wote n wanyamwez
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kaliwu sana Mgosya !!!! Naona kweli wamekupa shule. Msalimie huyo NYANSO wako anayekufundisha hehehee....
Nikumanyire mngosha, lugha huleta ushemeji...hehehehe!!

Ipo siku unikaribishe Sikonge, sitaharibu mambo. Japo niliishia mjini mjini, natumai unapajua Oxygen na WhatsApp maana hayo maeneo niliserebuka balaa.
 
Hehehehe!! Mbona mimi mstaarabu siku zote...
Tatizo mkitembelewa na mgeni mnataka ataje mazuri yote bila doa hata moja, nikitaja doa mnatiririka povu.
WAOOOO! Karibho ku ntobhora. Karibu tena, tena na tena jisikie uko nyumbani.
 
Back
Top Bottom