jayec
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 599
- 477
Nilishafika huko.Jamaa alinipeleka ukumbi mmoja hivi,nili-enjoy sana na live bandSikonge pako poa kabisa. Gongo na nyama mwitu kwa wingi.
Mashombe wa Kiarabu na Wanyamwezi wenyewe wamependeza kabisa. Karibu tu wewe.
Inabidi nimtishe kidogo ili nione kama kweli kapenda au mpiga bakora na kulala mbele. Heheheee