Nimekubali kuachwa tena

Hii ngoma ungekuwa unaicheza wewe ungejuaa jinsi midundo inavoenda[emoji28][emoji28], sawa ila sitofata ushauri wako wa kumrudia
Ndo Maana nikasema Ni Ushaur,
Una hiari ya kuchukua au kuuacha mkuu [emoji4][emoji120]
 
Hi
High level analyst
 
Tafuta hata picha ya mwanamke mwingine mzuri Sana Kisha kesho ipost kwa status halafu kausha , fanya kumpost kwa picha zake tofauti hata Mara 5 kwa week ,then thanks me later
Hii inaitwa kumtoa nyoka pangon
 
Aaah aaah ulivyochambua man, mna bifu nini na jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…