Nimekubali kuachwa tena

Nimekubali kuachwa tena

na hapo akiulizwa yy kuhusu ww atatoa sababu nyingi kuliko hata ww,

ndo maana mzee wangu huwa anakataa kusikiliza upande mmoja

tunaweza kumuuliza huyo manzi yako juu ya haya uliyoyasema akajibu kwa kifupi tu

"nampenda sana ila hanifikishi kileleni"
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]daaah aiseeee
 
DeepPond big brother ngoja nikudadavulie kidogo uweze kuielewa kitu.

Kuna baadhi ya code sijaweka kuhide ID yangu na mhusikaa though ye sio mdau wa JF kabisaa.

Iko hivi kumbuka haya MAHUSIANO yetu hayana hata miezi miwili, ye anakaa kwao mie nakaa kwetu ambako nimbali kidogo nakwao ,so kuonana ni mara chache sana, tumeonana kama mara 2 hivi kwa hii miezi miwili.

Mtu Hadi unaamua Nya kwenye biashara nibaada yakujiridhisha na mwenendo wa hio biashara, huwezi tu ukawekeza resources zako eti kutakaa kuonekana umeiellewa sana hio biashara au vipi, mie kutokuwekeza kwake ni baada ya mara ya kwanza kufanya hivo na akaja nikaushia tu bila neno loloteee hivo hadi uhusiano ukafa.

Sasa kaka mkuu hapo ungekuwa wewe kwa hii scenario ungeanza tu ukurupuke na kuanza kuhudumia???? Na pili sie sio watu wa kuonana mara kwa mara kusema labda tumetoka sana out yeye ndo aka clear bills zote. Labda lugha nlotumia inaweza kuwa kama inamu offend kwa namna flan lkn issue ni kujua nn kimepelekea mie kufanya hivi. Unaweza niona dhaifu nayo pia ni sawa kwa perception zako siwezi kataa.


Na kuhusu umarioo, katika MAHUSIANO yangu yote sijawahi kula Hela ya mwanamke ila wao zangu wametumia and I don't brag about this, so mie kutokutaka kutumia rasilimali zangu kwake ni makusudi kwa kile nlichokipata awali.
Kwa maelezo yako,
Unaonekana una MDA mrefu Sana na Kwny mahusiano nae.

Afu unakuja kutwambia,
Mwanamke wako hajawai kula hata Mia yako mpk mnaachana,

Hivi unataka tukueleweje,
wkt mwanamke yeye ndiye anafanya biashara wewe upo upo TU umezubaa.

Kisha,
Unakuja kulalamika mwanamke Anatabia ya uchoyo na umimi Mimi,

Na hakuna mahali umetwambia uliwahi msaidia chochote Cha kumboost kiuchumi mwanamke wako,

Sasa mkuu,
TUKIKUITA MARIOO TUTAKUA TUMEKUONEA?
 
Kupitia Uzi wako,
Umetoa code zako Mwnyw tukujue wee Ni mtu wa namna gani.

Ndo Maana wkt nachangia nakuita marioo,
nilikua naquote kabisa misemo yako Kwny Uzi husika.

Haihitaji degree kabisa kujua pale kwa yule mwanamke ulikua unalelewa[emoji4]
Okay soma tag ya hapo juu,
 
Tusipotezeane muda,
uyu Mtoa mada Ni SUPER Marioo,

Ntatoa sababu zifuatazo

1. UNATABIA ZA KUPENDA MSELELEKO au GANDA LA NDIZI.
yaan Huwajibiki kabisa kwa mwanamke wako.
"....Nkakaona kajinga.
Hajala hata 100 yangu..."

Mtoa mada Unaishije na mwanamke hata Mia yako Hali, are you serious [emoji848]

2. UNA TABIA ZA UCHAWA CHAWA
yaani ni Kijana wa party after party afu Bill ikija uchangii,

[emoji117]"...navopenda shughuli hivi ntaja mkwaza mtu au namwambia apeleke Hela ya mchango wa jambo fulan akapiga panga nije kumtia makofi Bure....."

[emoji117]" utamkuta status kapost meme, mwanamme tujjfunze kuwasaidia wapenzi wetu waafikie malengo Yao kuliko kudemand sex tu ...."

3. UNA TABIA YA KUPENDA KULELEWA.
yaani Unadate na waliokuzidi umri na kipato, kwa kwasababu tu ili upate kukwepa gharama za maisha.

[emoji117]...This girl is almost 3 years older than me so she is approaching her 30.."

[emoji117]"....Binti anaonekana anakaumimi au kauchoyo flani hivi as per mie na nlivolelewa naona hizo tabia siwezi endana nae.."

[emoji117]"....yeye anakasehem anaingiza Senti 5 sio haba.."

4. UNA TABIA YA GUBU,
yaani unapenda kutoa excuse za kubumba kwa matatizo yako mwenyewe.

Mf 01: Kuna mahali unasema kinachomuweka na wewe kwny mahusiano Ni kuhitaji mtoto na ndoa na wewe, wkt ukichunguza mwanamke wako anahitaji usimame Kama mwanaume.

Mf 02: mwishoni unajisifia mwanamke hajawai kula hata Mia yako, ila Kuna mahali unalalamika mwanamke anakuchoyo na kaubinafsi. Wkt Katikati unatwambia yeye ndio huwa anaclear bills zote.

5.UNAPEMDA MAHUSIANO YA KUGANDANA KAMA WATOTO WA SEKONDARI.

[emoji117]".....on contrary mie ndo nimekuwa nagonganinsha sms za nakupenda, good night, good morning but she didn't respond..."

[emoji117]"....nshasahauu mara ya mwisho nimeambiwa napendwa lini..."

6. UNAPENDA KUPEWA UMUHIMU USIO KUA NAO

Mf 01: Umeomba mechi umekutana na status ya kijembe.
Ndio alikua sahii maana Unachojua ni kuomba mechi TU ila hata Ela ya sabuni hutaki kutoa, unategemea atakuheshimu vipi.

Mf02: Kuna mahali unalalamika kakuita mdogo wake.
Alikua sahii Sana maana anaishi na wewe Kama mtu na mdg wake, sio mtu na mwanaume wake.
Yaani huwajibiki Kama mwanaume, Ni tegemezi Kama madogo zake uko vijijini.

Mf 03: Kuna mahali unalalamika hakwambii anakupenda, hajibu sms zako.
Mwanamke Yuko sahii 100% , yaani aache kazi zinazomuingizia kipato ahangaike kujibu sms zako na kukwambia anakupenda kila Mara, kwa kipi Sasa cha muhimu unachoongeza kwenye maisha yake?[emoji848]

Kwa hizo fact 6 hapo juu,
Mtoa mada wewe Ni 100% pure MARIOO.

Kama ni kombora, hili limedondokea capital.
 
Kwa maelezo yako,
Unaonekana una MDA mrefu Sana na Kwny mahusiano nae.

Afu unakuja kutwambia,
Mwanamke wako hajawai kula hata Mia yako mpk mnaachana,

Hivi unataka tukueleweje,
wkt mwanamke yeye ndiye anafanya biashara wewe upo upo TU umezubaa.

Kisha,
Unakuja kulalamika mwanamke Anatabia ya uchoyo na umimi Mimi,

Na hakuna mahali umetwambia uliwahi msaidia chochote Cha kumboost kiuchumi mwanamke wako,

Sasa mkuu,
TUKIKUITA MARIOO TUTAKUA TUMEKUONEA?
Kaka mkubwa, SIWEZ I WEKEZA PESA ZANGU KWA MDADA AMBAE SINA IMANI NAE ASHANIACHA KABLA NA NISHATUMIA PESA ZANGU, KUANZA KUWEKEZA PESA NOW NI MAPEMA SANA, MAHUSIANO NDO KWANZA YANA MWEZI MMOJA NA KIDOGO ,ITS TOO EARLY BROO

SIJAWAHI KULA HATA MIA YAKE ELEWA HIVO
 
Naungana na DeepPond mtoa mada ni wale ma marioo wapenda vitonga wanaopenda sex life kuliko kuwaza watakua vipi bora zaidi ya leo.
Mwanamke wake kampita mbali kiupeo, Ni Aina flani ya wanawake wako matured and focused kimaisha na kimahusiano.

Mtoa mada alikua anampotezea muda na kumfuja dada wa watu TU[emoji4]
 
Kaka mkubwa, SIWEZ I WEKEZA PESA ZANGU KWA MDADA AMBAE SINA IMANI NAE ASHANIACHA KABLA NA NISHATUMIA PESA ZANGU, KUANZA KUWEKEZA PESA NOW NI MAPEMA SANA, MAHUSIANO NDO KWANZA YANA MWEZI MMOJA NA KIDOGO ,ITS TOO EARLY BROO

SIJAWAHI KULA HATA MIA YAKE ELEWA HIVO
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu,

Mwanzoni kabisa mwa Uzi wako,
Kuna mahali nilikuuliza the same question,

Kumbuka alinijibu humhudumiagi kwasababu yeye Ni mwanamke wa kuclear bills.

Yaani ushazoea mkishakula, wakulipa bills Ni yeye.

Tunakuelewaje Sasa, unakua unaenda mbele unarudi nyuma mkuu[emoji848]
 
Ndugu mtoa mada
Una tatizo mahali, Tena kubwa Sana kwa mfumo unaokwenda nao kimahusiano.

Na usipojirekebisha haraka na ukadhani sisi tunaokwambia ukweli tunakuchukia,

Utajikuta unaishia kufedheheshwa Sana na wanawake zako, na mahusiano yako yatakua magumu Sana.

Ni kweli "hayana muongozo" Kama navyojisemeaga ndugu yetu Smart911

Ila Kuna vitu Kama mwanaume Lazima uviepuke sana, navyo Ni Kama

1. kumlala mwanamke ukamuacha mikono mitupu, ile Ela ya Asante inakujengea heshima sana Kama ulikua hujui.

Hata Kama Ni ndogo Kia's gani, ila unahesabika umetoa shukrani

2. Kwenda Kwny matumizi ukaitegemea Ela ya mwanamke kuclear bills.

Tambua wanawake wanapata Ela ktk mazingira magum sana tofaut na sisi, (unyanyasaji,udhalilishaji, kufedheheshwa n.k) hata Kama mnafanya kazi Aina moja.

Hasa uyo wako anayefanya biashara.

Kwaiyo pesa yake
tambua ameisotea kwa jasho na damu,
na huna mamlaka nayo, isipokua kwa hiari yake.
Nako hiari iwe Ni Mara moja moja tu. Usiruhusu iwe ni maZoea.

Simamia wajibu wako Kama mwanaume wako umhakikishie usalama wake kiuchumi,kimwili na kijamii popote pale anapokua na wewe.

3. Kuvipa vipaumbele vitu vya muhimu Ila sio visivyo na msingi Kwny mahusiano,

Mf: kupenda kutamkiwa unapendwa kila mara, kupigiwa Simu kila Mara, n.k

Mwenzio anafanya kazi,
Yanini umpigie pigie Simu na sms ovyo umtake akwambie anakupenda,

Kwani asipokwambia anakupenda wee huwez gundua unapendwa?

4. Kua na matarajio hasi unapoingia Kwny mahusiao na mtu aliekuzidi umri

-Ondoa kabisa mawazo ya kwamba kakaribia miaka 30 kwaiyo kaja kwako kutafuta ndoa na mtoto,

kwani kuoa Unaeweza kuoa ni wewe peke ako TU?
Hizo hizo shahawa za mimba unazo peke ako TU?

Kwanini hajaenda kwa wengine, Yuko na wewe?

Hebu jitahidi kua positive minded unapoanzisha mahusiano yoyote yale ubongo wako uwe free.

5. Kuwasema vibaya wanawake zako punde TU mnapoachana,Hii sio tabia nzur hata kidg.

Kumbuka ulishatwambia mlishaachana mkarudiana, Sasa vipi Tena mkija rudiana?

Maana ake utakua umerudia kula matapishi yako mwenyewe au?

Huoni kwa matatizo yote uliyomsemea vibaya, ukija kurudiana nae utakua umejivua nguo zako wewe mwenyewe?

Hebu epuka uadui usiokua na kichwa Wala miguu na wanawake zako, huwezi kuijua kesho yako au ya mwenzi wako.

Hii duniani Ni tambala bovu mkuu, Zingatia ayo kwanza.[emoji848]
 
Mwanamke wake kampita mbali kiupeo, Ni Aina flani ya wanawake wako matured and focused kimaisha na kimahusiano.

Mtoa mada alikua anampotezea muda na kumfuja dada wa watu TU[emoji4]
Lakini kuliwa ni haki yakee[emoji23][emoji23]
 
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu,

Mwanzoni kabisa mwa Uzi wako,
Kuna mahali nilikuuliza the same question,

Kumbuka alinijibu humhudumiagi kwasababu yeye Ni mwanamke wa kuclear bills.

Yaani ushazoea mkishakula, wakulipa bills Ni yeye.

Tunakuelewaje Sasa, unakua unaenda mbele unarudi nyuma mkuu[emoji848]
Unachosema ni sahihi ,LAKINI hizo bills ana clear akiwa yeye na wenzake sio tukiwa wote, sijui kama unanipata mkuu[emoji23][emoji23] yeye bill ana clear sawa lakini akiwa huko sio akiwa nami na ndo utaratibh wake
 
Ndugu mtoa mada
Una tatizo mahali, Tena kubwa Sana kwa mfumo unaokwenda nao kimahusiano.

Na usipojirekebisha haraka na ukadhani sisi tunaokwambia ukweli tunakuchukia,

Utajikuta unaishia kufedheheshwa Sana na wanawake zako, na mahusiano yako yatakua magumu Sana.

Ni kweli "hayana muongozo" Kama navyojisemeaga ndugu yetu Smart911

Ila Kuna vitu Kama mwanaume Lazima uviepuke sana, navyo Ni Kama

1. kumlala mwanamke ukamuacha mikono mitupu, ile Ela ya Asante inakujengea heshima.

2. Kwenda Kwny matumizi ukaitegemea Ela ya mwanamke kuclear bills.

Tambua wanawake wanapata Ela ktk mazingira magum sana tofaut na sisi, (unyanyasaji,udhalilishaji, kufedheheshwa n.k) hata Kama mnafanya kazi Aina moja.

Kwaiyo pesa yake tambua ameisotea,
na huna mamlaka nayo, isipokua kwa hiari yake.
Nako iwe Ni Mara moja moja. Usiruhusu iwe ni maZoea. Simamia wajibu wako.

3. Kuvipa vipaumbele vitu vya muhimu Ila sio visivyo na msingi Kwny mahusiano,
Mf: kupenda kutamkiwa unapendwa kila mara, kupigiwa Simu kila Mara, n.k

4. Kua na matarajio hasi unapoingia Kwny mahusiao na mtu aliekuzidi umri

-Ondoa kabisa mawazo ya kwamba kakaribia miaka 30 kwaiyo kaja kwako kutafuta ndoa na mtoto,
kwani kuoa Unaweza kuoa peke ako TU?
Hizo shahawa unazo peke ako TU?

Hebu kua positive minded unapoanzisha mahusiano.

5. Kuwasema vibaya wanawake zako punde TU mnapoachana,Hii sio tabia nzur hata kidg.

Kumbuka ulishatwambia mlishaachana mkarudiana, Sasa vipi Tena mkija rudiana?

Maana ake utakua umerudia matapishi yako au?

Huoni kwa matatizo yote uliyomsemea vibaya, ukija kurudiana nae utakua umejivua nguo mwenyewe?

Hebu epuka uadui usiokua na kichwa Wala miguu na wanawake zako, huwezi kuijua kesho yako au ya mwenzi wao.

Hii duniani Ni tambala bovu mkuu[emoji848]
Noted.

Anyway nimekusikia kaka, ila naona kama umeona mabaya yangu tu na point zangu nazotoa sion kma kuna yeyotee unaunga mkono, sawaa
 
Ndugu mtoa mada
Una tatizo mahali, Tena kubwa Sana kwa mfumo unaokwenda nao kimahusiano.

Na usipojirekebisha haraka na ukadhani sisi tunaokwambia ukweli tunakuchukia,

Utajikuta unaishia kufedheheshwa Sana na wanawake zako, na mahusiano yako yatakua magumu Sana.

Ni kweli "hayana muongozo" Kama navyojisemeaga ndugu yetu Smart911

Ila Kuna vitu Kama mwanaume Lazima uviepuke sana, navyo Ni Kama

1. kumlala mwanamke ukamuacha mikono mitupu, ile Ela ya Asante inakujengea heshima sana Kama ulikua hujui.

Hata Kama Ni ndogo Kia's gani, ila unahesabika umetoa shukrani

2. Kwenda Kwny matumizi ukaitegemea Ela ya mwanamke kuclear bills.

Tambua wanawake wanapata Ela ktk mazingira magum sana tofaut na sisi, (unyanyasaji,udhalilishaji, kufedheheshwa n.k) hata Kama mnafanya kazi Aina moja.

Hasa uyo wako anayefanya biashara.

Kwaiyo pesa yake
tambua ameisotea kwa jasho na damu,
na huna mamlaka nayo, isipokua kwa hiari yake.
Nako hiari iwe Ni Mara moja moja tu. Usiruhusu iwe ni maZoea.

Simamia wajibu wako Kama mwanaume wako umhakikishie usalama wake kiuchumi,kimwili na kijamii popote pale anapokua na wewe.

3. Kuvipa vipaumbele vitu vya muhimu Ila sio visivyo na msingi Kwny mahusiano,

Mf: kupenda kutamkiwa unapendwa kila mara, kupigiwa Simu kila Mara, n.k

Mwenzio anafanya kazi,
Yanini umpigie pigie Simu na sms ovyo umtake akwambie anakupenda,

Kwani asipokwambia anakupenda wee huwez gundua unapendwa?

4. Kua na matarajio hasi unapoingia Kwny mahusiao na mtu aliekuzidi umri

-Ondoa kabisa mawazo ya kwamba kakaribia miaka 30 kwaiyo kaja kwako kutafuta ndoa na mtoto,

kwani kuoa Unaeweza kuoa ni wewe peke ako TU?
Hizo hizo shahawa za mimba unazo peke ako TU?

Kwanini hajaenda kwa wengine, Yuko na wewe?

Hebu jitahidi kua positive minded unapoanzisha mahusiano yoyote yale ubongo wako uwe free.

5. Kuwasema vibaya wanawake zako punde TU mnapoachana,Hii sio tabia nzur hata kidg.

Kumbuka ulishatwambia mlishaachana mkarudiana, Sasa vipi Tena mkija rudiana?

Maana ake utakua umerudia kula matapishi yako mwenyewe au?

Huoni kwa matatizo yote uliyomsemea vibaya, ukija kurudiana nae utakua umejivua nguo zako wewe mwenyewe?

Hebu epuka uadui usiokua na kichwa Wala miguu na wanawake zako, huwezi kuijua kesho yako au ya mwenzi wako.

Hii duniani Ni tambala bovu mkuu, Zingatia ayo kwanza.[emoji848]
Hii comment umelengeaa Marioo na mie sio Mario nafikiri itanufaisha watu wengine
 
Noted.

Anyway nimekusikia kaka, ila naona kama umeona mabaya yangu tu na point zangu nazotoa sion kma kuna yeyotee unaunga mkono, sawaa
Honestly,
Japokua story yako Ni ya upande mmoja.
(Yaan Sijamsikiliza mwanamke)

Siwez kukuficha,
umejikaanga mwenyewe, kwa mafuta yako mwenyewe

Mwanamke wako Yuko 100% true,

Na kingine cha kukushaur, japo sio cha lazma sana.

Kama Unaweza,
mrudie haraka Sana uyo mwanamke wako.

She's a very good wife material kwa kizazi hiki tulichonacho Sasa,

Nakuhakikishia mkuu,
Uyo mwanamke akija KUPATA mtu anayeweza kufunika Yale madhaifu yako kwake, Utaona mabadiliko ndani ya MDA mfupi sana.

TRUST ME[emoji4]
 
Back
Top Bottom