Nimekubali kuachwa tena

Nimekubali kuachwa tena

Wanaume hatuko hivyo, huwezi kula Cha mwanamke 100% afu ukategemea kuendelea kuheshimika Kama mwanaume.
Ni kweli lakini kama nivosema tuna mwezi mmoja na out tumetoka mara Moja tu so siwez sema kuwa nimefeli sana kwenye hili
 
Haijalishi,
Ulichotakiwa kutwambia Ni kwanini mmeachana.

Ila unapokwenda kwenye suala la mambo yake binafs, unakua unakosea mdg wang
Sawa kaka lakin ppo wangeuliza sabab gani namuacha
 
Tusipotezeane muda,
uyu Mtoa mada Ni SUPER Marioo,

Ntatoa sababu zifuatazo

1. UNATABIA ZA KUPENDA MSELELEKO au GANDA LA NDIZI.
yaan Huwajibiki kabisa kwa mwanamke wako.
"....Nkakaona kajinga.
Hajala hata 100 yangu..."

Mtoa mada Unaishije na mwanamke hata Mia yako Hali, are you serious [emoji848]

2. UNA TABIA ZA UCHAWA CHAWA
yaani ni Kijana wa party after party afu Bill ikija uchangii,

[emoji117]"...navopenda shughuli hivi ntaja mkwaza mtu au namwambia apeleke Hela ya mchango wa jambo fulan akapiga panga nije kumtia makofi Bure....."

[emoji117]" utamkuta status kapost meme, mwanamme tujjfunze kuwasaidia wapenzi wetu waafikie malengo Yao kuliko kudemand sex tu ...."

3. UNA TABIA YA KUPENDA KULELEWA.
yaani Unadate na waliokuzidi umri na kipato, kwa kwasababu tu ili upate kukwepa gharama za maisha.

[emoji117]...This girl is almost 3 years older than me so she is approaching her 30.."

[emoji117]"....Binti anaonekana anakaumimi au kauchoyo flani hivi as per mie na nlivolelewa naona hizo tabia siwezi endana nae.."

[emoji117]"....yeye anakasehem anaingiza Senti 5 sio haba.."

4. UNA TABIA YA GUBU,
yaani unapenda kutoa excuse za kubumba kwa matatizo yako mwenyewe.

Mf 01: Kuna mahali unasema kinachomuweka na wewe kwny mahusiano Ni kuhitaji mtoto na ndoa na wewe, wkt ukichunguza mwanamke wako anahitaji usimame Kama mwanaume.

Mf 02: mwishoni unajisifia mwanamke hajawai kula hata Mia yako, ila Kuna mahali unalalamika mwanamke anakuchoyo na kaubinafsi. Wkt Katikati unatwambia yeye ndio huwa anaclear bills zote.

5.UNAPEMDA MAHUSIANO YA KUGANDANA KAMA WATOTO WA SEKONDARI.

[emoji117]".....on contrary mie ndo nimekuwa nagonganinsha sms za nakupenda, good night, good morning but she didn't respond..."

[emoji117]"....nshasahauu mara ya mwisho nimeambiwa napendwa lini..."

6. UNAPENDA KUPEWA UMUHIMU USIO KUA NAO

Mf 01: Umeomba mechi umekutana na status ya kijembe.
Ndio alikua sahii maana Unachojua ni kuomba mechi TU ila hata Ela ya sabuni hutaki kutoa, unategemea atakuheshimu vipi.

Mf02: Kuna mahali unalalamika kakuita mdogo wake.
Alikua sahii Sana maana anaishi na wewe Kama mtu na mdg wake, sio mtu na mwanaume wake.
Yaani huwajibiki Kama mwanaume, Ni tegemezi Kama madogo zake uko vijijini.

Mf 03: Kuna mahali unalalamika hakwambii anakupenda, hajibu sms zako.
Mwanamke Yuko sahii 100% , yaani aache kazi zinazomuingizia kipato ahangaike kujibu sms zako na kukwambia anakupenda kila Mara, kwa kipi Sasa cha muhimu unachoongeza kwenye maisha yake?[emoji848]

Kwa hizo fact 6 hapo juu,
Mtoa mada wewe Ni 100% pure MARIOO.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au nmesema uongo ndugu yangu?
images-516.jpg
 
Tusipotezeane muda,
uyu Mtoa mada Ni SUPER Marioo,

Ntatoa sababu zifuatazo

1. UNATABIA ZA KUPENDA MSELELEKO au GANDA LA NDIZI.
yaan Huwajibiki kabisa kwa mwanamke wako.
"....Nkakaona kajinga.
Hajala hata 100 yangu..."

Mtoa mada Unaishije na mwanamke hata Mia yako Hali, are you serious [emoji848]

2. UNA TABIA ZA UCHAWA CHAWA
yaani ni Kijana wa party after party afu Bill ikija uchangii,

[emoji117]"...navopenda shughuli hivi ntaja mkwaza mtu au namwambia apeleke Hela ya mchango wa jambo fulan akapiga panga nije kumtia makofi Bure....."

[emoji117]" utamkuta status kapost meme, mwanamme tujjfunze kuwasaidia wapenzi wetu waafikie malengo Yao kuliko kudemand sex tu ...."

3. UNA TABIA YA KUPENDA KULELEWA.
yaani Unadate na waliokuzidi umri na kipato, kwa kwasababu tu ili upate kukwepa gharama za maisha.

[emoji117]...This girl is almost 3 years older than me so she is approaching her 30.."

[emoji117]"....Binti anaonekana anakaumimi au kauchoyo flani hivi as per mie na nlivolelewa naona hizo tabia siwezi endana nae.."

[emoji117]"....yeye anakasehem anaingiza Senti 5 sio haba.."

4. UNA TABIA YA GUBU,
yaani unapenda kutoa excuse za kubumba kwa matatizo yako mwenyewe.

Mf 01: Kuna mahali unasema kinachomuweka na wewe kwny mahusiano Ni kuhitaji mtoto na ndoa na wewe, wkt ukichunguza mwanamke wako anahitaji usimame Kama mwanaume.

Mf 02: mwishoni unajisifia mwanamke hajawai kula hata Mia yako, ila Kuna mahali unalalamika mwanamke anakuchoyo na kaubinafsi. Wkt Katikati unatwambia yeye ndio huwa anaclear bills zote.

5.UNAPEMDA MAHUSIANO YA KUGANDANA KAMA WATOTO WA SEKONDARI.

[emoji117]".....on contrary mie ndo nimekuwa nagonganinsha sms za nakupenda, good night, good morning but she didn't respond..."

[emoji117]"....nshasahauu mara ya mwisho nimeambiwa napendwa lini..."

6. UNAPENDA KUPEWA UMUHIMU USIO KUA NAO

Mf 01: Umeomba mechi umekutana na status ya kijembe.
Ndio alikua sahii maana Unachojua ni kuomba mechi TU ila hata Ela ya sabuni hutaki kutoa, unategemea atakuheshimu vipi.

Mf02: Kuna mahali unalalamika kakuita mdogo wake.
Alikua sahii Sana maana anaishi na wewe Kama mtu na mdg wake, sio mtu na mwanaume wake.
Yaani huwajibiki Kama mwanaume, Ni tegemezi Kama madogo zake uko vijijini.

Mf 03: Kuna mahali unalalamika hakwambii anakupenda, hajibu sms zako.
Mwanamke Yuko sahii 100% , yaani aache kazi zinazomuingizia kipato ahangaike kujibu sms zako na kukwambia anakupenda kila Mara, kwa kipi Sasa cha muhimu unachoongeza kwenye maisha yake?[emoji848]

Kwa hizo fact 6 hapo juu,
Mtoa mada wewe Ni 100% pure MARIOO.
Umemaliza DP [emoji119][emoji3]. Asipoelewa apo, basi tena.
 
Hahahaaaaa....

Nimewambia akubali kuachika..
Hivi wanawake huwa mnafikira Nini kudate na mtu Kama kina mtoa mada[emoji848]

Unakua na mtu hachangii chochote kwny maisha yako[emoji848]

Unakua na mtu anakupigia pigia Simu ovyo kila Mara[emoji848]

Unakua na mtu kila mara anataka umwambie unampenda[emoji848]

Unakua na mtu kila shughuli anataka awepo[emoji848]

Unakua na mtu umemzidi umri mpk upeo wa kufikiria[emoji848]

Hivi huwa mnafikira Nini nyie wanawake[emoji848]

AU HUWA MNAROGWA?[emoji848]
 
Inasikitisha sana
Hivi wanawake huwa mnafikira Nini kudate na mtu Kama kina mtoa mada[emoji848]

Unakua na mtu hachangii chochote kwny maisha yako[emoji848]

Unakua na mtu anakupigia pigia Simu ovyo kila Mara[emoji848]

Unakua na mtu kila mara anataka umwambie unampenda[emoji848]

Unakua na mtu kila shughuli anataka awepo[emoji848]

Unakua na mtu umemzidi umri mpk upeo wa kufikiria[emoji848]

Hivi huwa mnafikira Nini nyie wanawake[emoji848]

AU HUWA MNAROGWA?[emoji848]
Inasikitisha sana....Na alieturoga keshakufa zamaniiiiii
 
Hivi wanawake huwa mnafikira Nini kudate na mtu Kama kina mtoa mada
emoji848.png


Unakua na mtu hachangii chochote kwny maisha yako
emoji848.png


Unakua na mtu anakupigia pigia Simu ovyo kila Mara
emoji848.png


Unakua na mtu kila mara anataka umwambie unampenda
emoji848.png


Unakua na mtu kila shughuli anataka awepo
emoji848.png


Unakua na mtu umemzidi umri mpk upeo wa kufikiria
emoji848.png


Hivi huwa mnafikira Nini nyie wanawake
emoji848.png


AU HUWA MNAROGWA?
emoji848.png
Hem shuka hadi huku chini kabisa uone post zake
 
Back
Top Bottom