PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Mtoa mada hakujua alichopost... maana alisema 50,000 kila mkoa hapo ndipo watu wanapokataa yaani mauzo ya jezi 1,500,000 kwa SIMBA PEKEE na wale YANGA nao wakiuza zao ziwe jumla 3M ya jezi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Profit =TR - TCMatunda yote haya yote ni kutokana na uwekezaji mdogo wa Simba msimu uliopita, leo tunaona watani wetu nao wakifaidi matunda.
Sasa leo ntapiga hesabu ndogo tu kukuhakikishia kwamba mpira wa leo ni PESA yaani unaweka PESA unapata PESA.
Tuseme tuna mikoa 20 Tanzania nzima, kila mkoa upangiwe jezi 50,000 tu. Kila jezi ya Simba ni 30,000,
i
Twende kazi:-
20 x 50,000x 30,000 = Billion 30. Hii ni kwa JEZI tu.
Kweli, Weka PESA upate PESA, huna PESA kaa pembeni au tembeza BAKURI.
Kwani kasema 50,000 nchi nzima? Si kasema kila mkoa?Watanzania hamjielewi kaeni hivyo hivvyo, kuwa na timu yenye washabiki na wanachama approx 100,000 Tanzania ni mtaji mkubwa sana. Capital huwa si hela tu bali hata Brand ni capital.
Kudhihirisha kwamba hamjui kitu ni mtu eti anabisha kwamba huwezi kuuza jezi 50,000 katika Taifa lenye watu zaidi ya Mil 50.
Kinachohitajika ni marketing strategies,,,kwisha habari.
Tatizo lako mkuu una generalize, sio wote unawaona hapo wamejaza uwanja ndo mashabiki wa simba kisa ni simba day. NO. Ingekuwa ni rahisi hivyo unavyowaza basi leo ambayo ndo kama sherehe ya simba ungeona uzi mwekundu tupu nadhani
kwa hiyo zile bilioni tano akizokopesha Mo zitazalisha bilioni 30 kwa mwaka kwenye jezi tu? Acha masihara!wewe unayejua elimu ya biashara endelea kubisha kwamba huwezi kuuza jezi 50,000 kwenye Taifa lenye watu milion 60. Biashara ya vitabuni inawatesa watanzania sana na wewe ni mfano tosha.
tatizo washabiki wa simba furaha zimewazidi mpaka sasa uwezo wa kufikiri umewapungua wanaona kila kitu kinawezekana, ndio maana manara aliropoka hata akija barca taifa anakufa, na washabiki wakaunga mkono juhudi za manara. Tulieni mwaka huu muone.Mie namuunga mkono mtoa post.
Lazima uanze na mahesabu kabla ya kuanza business.
We huna ujualo ww umesema kila mkoa jezi 50,000 so ukizidisha na 30 unapata jezi 1,500,000... hapo ukizidisha na TZS 30,000 unapata pesa kubwa mno. WAHINDI WANGEDEAL NA HII ISHU.
Labda kama mtoa mada ame edit post yake, lakini macho yangu yanasoma ameandika 5,000 kila mkoaMtoa mada hakujua alichopost... maana alisema 50,000 kila mkoa hapo ndipo watu wanapokataa yaani mauzo ya jezi 1,500,000 kwa SIMBA PEKEE na wale YANGA nao wakiuza zao ziwe jumla 3M ya jezi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣AISEEhata kujamba timing si kila mahali si unajua mambo ya selfiee
vipi kwan mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]AISEE
KUJAMBA NA SELFIEEvipi kwan mkuu
yeah ni kujihudumiaKUJAMBA NA SELFIEE
kujipunguzia gesi mwiliniKUJAMBA NA SELFIEE
NAAAMkujipunguzia gesi mwilini
😂 😂yeah ni kujihudumia
Mauzo ya jerseys yanaingiza pesa kuliko gates collectionMatunda yote haya yote ni kutokana na uwekezaji mdogo wa Simba msimu uliopita, leo tunaona watani wetu nao wakifaidi matunda.
Sasa leo ntapiga hesabu ndogo tu kukuhakikishia kwamba mpira wa leo ni PESA yaani unaweka PESA unapata PESA.
Tuseme tuna mikoa 20 Tanzania nzima, kila mkoa upangiwe jezi 5000 tu. Kila jezi ya Simba ni 30,000,
i
Twende kazi:-
20 x 5000x 30,000 = Billion 3. Hii ni kwa JEZI tu.
Kweli, Weka PESA upate PESA, huna PESA kaa pembeni au tembeza BAKURI.
si unajua kubania bania sio poa gesi ikijaa unatakiwa ujivute upande mmoja ili mzigo upite fyiiiiiuuuuuuuNAAAM