- Thread starter
- #21
acha ubishi wa kijinga, hivi kabla ya hamasa ya Simba Day kubuniwa ulitegemea kwamba washabiki wa Simba au Yanga wanafikia 60,000 wa siku moja wakajaza uwanja?Mahesabu yako hayako kiuhalisia.. unajua idadi ya watu 50,000,?
Mtu kashindwa kulipia 20k kitambulisho cha biashara atoe ac30k ya jezi?