Nimekufa nimeoza kwa Traffic wa kike wa Chang'ombe mataa

Nimekufa nimeoza kwa Traffic wa kike wa Chang'ombe mataa

trafiki.jpg


Huyo ana mtuwake ... Chunga sana usije ukaishia selo..
Hawa watafutwe na wakamatwe kwa uchochezi kazini
 
Raha ya kuoa Mwalimu mkiwa tendoni anakupongeza very nice, very good, excellent, see me, keep it up, rudia tena.

Kimbembe traffic mkiwa tendoni

Stop, Washa wiper, switch engender, Washa endiketa, huna leseni, hujavaa mkanda hujavaa helmet matairi yako kipara. Shabaash tupo tendoni unanambia matairi kipara kweli! Sioi traffic mimi
 
Mm nimewai kumgegeda mmoja kiutani utani.Mara kanikamata mara hivi sikumoja nikamomba nambake .jilipue mkuu unamogopa bure .
 
Mimi yule wa Ubungo mataa asubuhi...black beauty fulani. Yaani kila nikipita pale lazima nimpige picha. Kuna siku kidogo anishtukie. Ngoja siku moja nitafanya kosa makusudi mbele yake, km ni faini wacha nipigwe tu
 
Hii sredi bhana!!

Kuna traffic was kike yupo pale muheza stande dsaah mazeee ana bonge LA body nyuma mavi mavi yamejaa hatari .

Alinipa mateso makuu .

Wakuu mkipita muheza stand mkiwa mnaelekea Tanga mjini mnifikishie salamu. Zangu
 
Sasa mku mbona huyo Traffic unaemsema ni jilani yangu huku mtaani kwetu tena ni mama wa mtoto mmoja na mumewe tuko nae japa JF.
 
Mkeo akiona huu ujinga lazma tu atagundua kuwa mmewe ana kichwa cha kuku,uko tyr kuvunja ndoa kwa sbb yake ?mshahalarisha kuchepuka ,mmeona ni kama legal actions nyingne,ndio maana watt mitaan hawaish kwa sbb ya kuwa na.wanaumee vichwa kuku
 
Raha ya kuoa Mwalimu mkiwa tendoni anakupongeza very nice, very good, excellent, see me, keep it up, rudia tena.

Kimbembe traffic mkiwa tendoni

Stop, Washa wiper, switch engender, Washa endiketa, huna leseni, hujavaa mkanda hujavaa helmet matairi yako kipara. Shabaash tupo tendoni unanambia matairi kipara kweli! Sioi traffic mimi
Best comment nimecheka sana
 
Raha ya kuoa Mwalimu mkiwa tendoni anakupongeza very nice, very good, excellent, see me, keep it up, rudia tena.

Kimbembe traffic mkiwa tendoni

Stop, Washa wiper, switch engender, Washa endiketa, huna leseni, hujavaa mkanda hujavaa helmet matairi yako kipara. Shabaash tupo tendoni unanambia matairi kipara kweli! Sioi traffic mimi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mbona wenzako wanampita tu ka sanamu wala hawasumbuki? We vip?? Una tatizo flan hivi. Fanya kosa ukimwona anaangalia upande wako akikusimamisha paki kando, zima injini, anza kushusha machozi. Akija, mwambie yaliyo moyoni mwako. Namjua yule ni mama huruma, atakusikia tu
Mmh!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mimi yule wa Ubungo mataa asubuhi...black beauty fulani. Yaani kila nikipita pale lazima nimpige picha. Kuna siku kidogo anishtukie. Ngoja siku moja nitafanya kosa makusudi mbele yake, km ni faini wacha nipigwe tu
Hahahaaaa
 
Uzalendo umenishinda kwa huyu binti ambaye ni Traffic ambaye namuona mara kadhaa kwenye mataa ya chang'ombe karibu na Serengeti ana sifa kumi za uzuri zaidi ya alizotaja O-ten imebidi niseme tuu kama yumo humu ataskia kilio changu nipo tayari kuvunja hata ndoa yangu maana muda wa kufaidi vitu vizuri ni huu kabla hatujafa na kuingia kwenye food web tuwe mbolea.
Bila picha huu uzi ni batili
 
Round about ya Mlimani City anasimamaga afande ana zinga la GUU
 
Raha ya kuoa Mwalimu mkiwa tendoni anakupongeza very nice, very good, excellent, see me, keep it up, rudia tena.

Kimbembe traffic mkiwa tendoni

Stop, Washa wiper, switch engender, Washa endiketa, huna leseni, hujavaa mkanda hujavaa helmet matairi yako kipara. Shabaash tupo tendoni unanambia matairi kipara kweli! Sioi traffic mimi
Hahahahaha mbavu zanguuuuu hukuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Cc Smart911
 
Mbona wenzako wanampita tu ka sanamu wala hawasumbuki? We vip?? Una tatizo flan hivi. Fanya kosa ukimwona anaangalia upande wako akikusimamisha paki kando, zima injini, anza kushusha machozi. Akija, mwambie yaliyo moyoni mwako. Namjua yule ni mama huruma, atakusikia tu
[emoji24] [emoji23] [emoji24] [emoji23] [emoji23] [emoji602] [emoji601]
 
Back
Top Bottom