Harald Dad
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 353
- 263
Hawa watafutwe na wakamatwe kwa uchochezi kazini
Huyo ana mtuwake ... Chunga sana usije ukaishia selo..
Best comment nimecheka sanaRaha ya kuoa Mwalimu mkiwa tendoni anakupongeza very nice, very good, excellent, see me, keep it up, rudia tena.
Kimbembe traffic mkiwa tendoni
Stop, Washa wiper, switch engender, Washa endiketa, huna leseni, hujavaa mkanda hujavaa helmet matairi yako kipara. Shabaash tupo tendoni unanambia matairi kipara kweli! Sioi traffic mimi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Raha ya kuoa Mwalimu mkiwa tendoni anakupongeza very nice, very good, excellent, see me, keep it up, rudia tena.
Kimbembe traffic mkiwa tendoni
Stop, Washa wiper, switch engender, Washa endiketa, huna leseni, hujavaa mkanda hujavaa helmet matairi yako kipara. Shabaash tupo tendoni unanambia matairi kipara kweli! Sioi traffic mimi
Mmh!Mbona wenzako wanampita tu ka sanamu wala hawasumbuki? We vip?? Una tatizo flan hivi. Fanya kosa ukimwona anaangalia upande wako akikusimamisha paki kando, zima injini, anza kushusha machozi. Akija, mwambie yaliyo moyoni mwako. Namjua yule ni mama huruma, atakusikia tu
Mambo gani hayoSawa mkuu..ila usidanganywe na macho kk..maaskari wa kike huwa "wana mambo mengi" mkuu
HahahaaaaMimi yule wa Ubungo mataa asubuhi...black beauty fulani. Yaani kila nikipita pale lazima nimpige picha. Kuna siku kidogo anishtukie. Ngoja siku moja nitafanya kosa makusudi mbele yake, km ni faini wacha nipigwe tu
Bila picha huu uzi ni batiliUzalendo umenishinda kwa huyu binti ambaye ni Traffic ambaye namuona mara kadhaa kwenye mataa ya chang'ombe karibu na Serengeti ana sifa kumi za uzuri zaidi ya alizotaja O-ten imebidi niseme tuu kama yumo humu ataskia kilio changu nipo tayari kuvunja hata ndoa yangu maana muda wa kufaidi vitu vizuri ni huu kabla hatujafa na kuingia kwenye food web tuwe mbolea.
Hahahahaha mbavu zanguuuuu hukuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Raha ya kuoa Mwalimu mkiwa tendoni anakupongeza very nice, very good, excellent, see me, keep it up, rudia tena.
Kimbembe traffic mkiwa tendoni
Stop, Washa wiper, switch engender, Washa endiketa, huna leseni, hujavaa mkanda hujavaa helmet matairi yako kipara. Shabaash tupo tendoni unanambia matairi kipara kweli! Sioi traffic mimi
Hawa sijui kesi yao iliishia wapi, hv walifukuzwa ama walipewa onyo.
Huyo ana mtuwake ... Chunga sana usije ukaishia selo..
Siyo wote,lakini hawajambo[emoji113]Sawa mkuu..ila usidanganywe na macho kk..maaskari wa kike huwa "wana mambo mengi" mkuu
Mbona kama unapeleleza miss.ana hammer kwani? huyu bodaboda tu alimpeleka mtu huko
[emoji24] [emoji23] [emoji24] [emoji23] [emoji23] [emoji602] [emoji601]Mbona wenzako wanampita tu ka sanamu wala hawasumbuki? We vip?? Una tatizo flan hivi. Fanya kosa ukimwona anaangalia upande wako akikusimamisha paki kando, zima injini, anza kushusha machozi. Akija, mwambie yaliyo moyoni mwako. Namjua yule ni mama huruma, atakusikia tu