Nimekuja Arusha, nimeshangaa kukuta wanawake wanapiga konyagi na K-Vant

Nimekuja Arusha, nimeshangaa kukuta wanawake wanapiga konyagi na K-Vant

Wakuu,

Sijui ni stress za maisha au ni nini?

Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?

You'll know that you don't know🤣🤣
 
Back
Top Bottom