Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Baridi refer UrusiHalafu kwanini pombe kali zote wanatengeneza Arusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baridi refer UrusiHalafu kwanini pombe kali zote wanatengeneza Arusha
Chs muhimu myumbo au vipi?Pombe ni Pombe ulevi ni ule ule mkuu
Kuna mahala popote kwenye K vant na Konyagi imezungunzia jinsia ya watumiaji ukiacha suala umri?Wakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Picha iko wapi?😡😡Kwa mtazamo wangu nawaona they are beautiful.
Wakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Mikoa yote ya baridiHalafu kwanini pombe kali zote wanatengeneza Arusha
It's seems wanaume Kwa wanawake kwenye sehemu hizi mbili kusini na kaskazini hasa ndani ya pwani wanakua na tabia zinazofanana. Wanawake wa Kanda hizi wampetia sana ukatili kutoka Kwa wanaume wao hivo wamewafanya na wao kua kama wao. Wameiga tabia zote za wanaume wa maeneo YaoNjoo mbeya huku .
Wanawake wanabugia kila Aina ya makali .
Kuna pombe inaitwa haisi ni inapigwa balaa na mademu.
Konyagi na kvant kwao ni masafishio ya kuchambia Koo baada ya kula kila Aina ya pombe.
Manzi mmoja huku mbeya anaweza kukupigia konyag moja kubwa na tule tudogo tuwili alafu akawa kawaida tu.
Hii nimeikuta Sana maeneo ya tukuyu kuanzia kiwira ,kk, katumba ,had mwakaleli - kandete
Beer hazileweshi mkuuPombe ka K-Vant walevi konki wenyewe wanaiogopa.
Si ndio Moscow ya Tanzania walevi wengiHalafu kwanini pombe kali zote wanatengeneza Arusha
Baridi kama ya Urusi na Ukraine!Bia hazipandishi mzuka!Halafu kwanini pombe kali zote wanatengeneza Arusha
Kvant tunayoijua huku Urusi ni hiiBaridi kama ya Urusi na Ukraine!Bia hazipandishi mzuka!
Kwani inatokea kipande gani,unguarded au Pemba,mbona kwingine ndio za kupandia juu ya meza kwa she.😁Wakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Uone tofauti sasaKuna mtu alisema raha ya dar wanawake wanatupia kanga tu kwa ajili ya joto, ila Arusha madem wanashinda na jeans tu 😂