Nimekuja Arusha, nimeshangaa kukuta wanawake wanapiga konyagi na K-Vant

Nimekuja Arusha, nimeshangaa kukuta wanawake wanapiga konyagi na K-Vant

Wakuu,

Sijui ni stress za maisha au ni nini?

Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
IKO HIVI,

WANAWAKE WA UKANDA HUO, ARUSHA & KILIMANJARO MALEZI NA MAKUZI YAO YAMEWAANDAA KUWA WANAUME WA KIKE. NAMAANISHA NI AINA NYINGINE YA WANAUME KATIKA MAUMBILE YA KIKE
KWAMBA USITEGEMEE WAWE NA TABIA ZILE ZA KIKE KIKE:-KUONGEA KWA UPOLE, UNYENYEKEVU,UTII, HESHIMA, UAMINIFU(UZINZI NI MTAJI),
USITEGEE WAWE WALEZI WAZURI WA WATOTO NA WANAUME,
USITEMEE WAWE WANAJUA MAPENZI, NA KUTUNZA MUME, KUJALI WAO WANAJUA KUTAFUTA PESA TU!
 
Wakuu,

Sijui ni stress za maisha au ni nini?

Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
sababu ya hali ya baridi mkuu.ukinywa bia haulewi ni kama maji tu. ili isiwe gharama kubwa ndo mana wanatumia kitu cha spirit ili maini, utumbo, firigisi na bandama zikae sawa
 
Wakuu,

Sijui ni stress za maisha au ni nini?

Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Mimi Arusha nilishangaa nilipo kutana na wamachinga wa kike,demu mkali kashika bidhaa ana negotiate men daaah pale dipo nilipo wakubali mademu wa Arusha.
 
Arusha hamna beautiful ladies hao wote unaowaona ni miamba
Unaumwa na kifaduro chukua gari kapime muhimbili au aga khan naja lipa shudu shudu shuduuuuu [emoji2961]
land-rover-range-rover-p400-se-lwb-2022-05-black-exterior-rear-angle-suv-scaled.jpg
 
Wakuu,

Sijui ni stress za maisha au ni nini?

Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
arusha hiyo nikawaida yao
 
Back
Top Bottom