King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilianzisha thread juu ya wanawake wa chuga ilifutwa chap😀😀Wakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Wakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Labda walevi laini laini wa huko Dar ndio wanaogopa k-vant.Pombe ka K-Vant walevi konki wenyewe wanaiogopa.
Motivational speakers bana.Kumzingua mtu ilo ni jambo jingine ila nasema ivi mchuga yoyote akingia anga zangu huwa simwachi salama hasa hawa wameru
Analeta pigo za kiwaki arifu,Ila haina paringi mnama.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hawafagi mapema kwa ini ama figo. chalii unaleta pigo za wapi za maniaje niaje arifu?
Jihadhari na chupa unazoziona, angalia kilichomo ndani yake.Wakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Aje blue stone hapa tumemaliza kucheki game Kama ataona watu wa dizaini hizo.Mtu unaenda Picnic sijui Mrina
Mara Bills river
Lazima ukutane na ulokutana nayo
What is wrong with picnic- hasa kuanzia asubuhi mwisho saa nne usiku?Mtu unaenda Picnic sijui Mrina
Mara Bills river
Lazima ukutane na ulokutana nayo
Nitaftie pis 1 ya kimbulu huko mura😜😜Kwa mtazamo wangu nawaona they are beautiful.
Ukizoea pombekali bia hulewi.....Wanasema bia hawalewi
Miamba ya kasikaziniArusha hamna beautiful ladies hao wote unaowaona ni miamba