Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Ni kweli ila mwanamke anakunywa konyagi, k'vant kweli Kuna mtu timamu apo alafu akucheke na Yale meno yao aisee makinika kiongoziDuh.huenda kila mtu na mtazamo wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ila mwanamke anakunywa konyagi, k'vant kweli Kuna mtu timamu apo alafu akucheke na Yale meno yao aisee makinika kiongoziDuh.huenda kila mtu na mtazamo wake
Pwela la mlima Meru labda ndiyo linawafanya wanywe kufukuza baridi, watu wa mjini Arusha wanatohoa tabia za Kirusi za kupenda pombe kuliko chakula!Wakuu,sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika arusha,kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na k vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
[emoji23]Beautiful kwa sura tu, mchokoze uone ngumi atakazozichapa mwakinyo akasome.....kwanza hilo biti lake unaweza hisi sio yeye anaongea
Picha inasza stendi pale tu unashuka ukisikia unaitwa mkakaa unaenda kwa mromboo af ukamjibu majibu yetu ya dar uku et oh naenda mbinguni ase atakujazia watu utakunjwa mpaka utajifunza ustaarabuBeautiful kwa sura tu, mchokoze uone ngumi atakazozichapa mwakinyo akasome.....kwanza hilo biti lake unaweza hisi sio yeye anaongea
Hakuna kitu wanawake wa Dar wanapenda kushindana na wanaume waonekane wana pesa kuliko wanaume kwahiyo wanazungusha meza kwasababu hiyoWewe hujazunguka Bar za Dar wewe, wanawake wanapiga double kick
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Amna kitu apo Arusha Wala ugoro tuh Mimi nilisha piga vibao vingi sana mpiga debe mmoja maeneo ya sanawariPicha inasza stendi pale tu unashuka ukisikia unaitwa mkakaa unaenda kwa mromboo af ukamjibu majibu yetu ya dar uku et oh naenda mbinguni ase atakujazia watu utakunjwa mpaka utajifunza ustaarabu
Na ujanja wangu wote uhu nikifika Arusha nikifika nakuwa mpole msatarabu sana kuliko kawaida ila nikifika Magufuli stand bus hapa nakuwa kichaa tena mswahili wa tandale
BaridiiAlafu kwanini pombe kali zote wanatengeneza arusha
Ulikutana na choka mbaya ww chalii za arusha kabisa born pale sikina au mount meri mzimgue uoneAmna kitu apo Arusha Wala ugoro tuh Mimi nilisha piga vibao vingi sana mpiga debe mmoja maeneo ya sanawari
Kuna mtu alisema raha ya dar wanawake wanatupia kanga tu kwa ajili ya joto, ila Arusha madem wanashinda na jeans tu 😂
Hebu kapicha kidogo mkuu!Sio nyakati zote..
Hiyo ni kuanzia 2020 kurudi nyuma huko
Sahivi jua kama kawa..
Hapa nimelala na kyupi tu
Na jioni hii mvua ilipiga ya kushato
Lkn hamna baridi
Kumzingua mtu ilo ni jambo jingine ila nasema ivi mchuga yoyote akingia anga zangu huwa simwachi salama hasa hawa wameruUlikutana na choka mbaya ww chalii za arusha kabisa born pale sikina au mount meri mzimgue uone
Hebu kapicha kidogo mkuu!