Nimekuja kugundua kumbe mwanamke niliyefanya nae mapenzi jana kumbe ni muathirika wa virusi vya ukimwi( V.V.U)

Nimekuja kugundua kumbe mwanamke niliyefanya nae mapenzi jana kumbe ni muathirika wa virusi vya ukimwi( V.V.U)

Mtoa maada huenda akawa mhaya, goli 8 hizo za mkongo ni zipi, ajabu mkongo wenyewe haujui.
 
Huu upwiru utakuja kutuua jamani aisee tunapaswa kuwa na tahadhari wakati huu wa ujana wadau ama kweli ujana ni kaa la moto wakuu ukiuvhezea vibaya utakuja kujuta uzeeni kiukweli yaliyonikuta jana ni habari nyingine wakuu mniombeea

Jana maeneo fulani ya Binyampola hapa Kahama nilienda zangu kuosha rungu kwa sababu bado ni shida na wife wangu hatujakaa sawa kitu kinachopelekea kuninyima unyumba na kuniongelea maneno ovyo kitandani. Sasa bwana wakati naenda pale kuna pisi nikaiona wakuu sasa bwana si ndiyo nikaipiga sound?

Pisi ikajaa kabisa niakenda kumnunulia pombe pale amekunywa weee mishale ya saa sita nikaondoka nae na ndinga yangu ya prado tx mchaga mpaka lodge kwa jina x pale per day 150,000 sasa bwana mimi si kwasababu ya upwiru? Nikamvamia pale mbaya zaidi nilimpakia mkongo eti ili kumkomoa bwana wewe nimepiga mshindo wa goli 8 jana wakuu

Baadae baada ya kukulana leo nimemuita hapa hospital ili tupime afya nikampima na sd bioline ikaonesha mistari miwili aisee nilishituka ila demu ananiangalia fresh nikaona sio isiwe nikampima na unigold kitu ikasoma aisee kwamba binti ni positive aiseee moyo ulilipuka na ukaenda mbio nikajikuta nimetandikiwa na ringer lactate hapa hapa hospital lengo wani resuscitate nimeamka nimekutana na pep ila mimi nakataa kunywa
 

Attachments

  • Masala-Chai-Tea-Recipe-Card.jpg
    Masala-Chai-Tea-Recipe-Card.jpg
    66.9 KB · Views: 6
Huu upwiru utakuja kutuua jamani aisee tunapaswa kuwa na tahadhari wakati huu wa ujana wadau ama kweli ujana ni kaa la moto wakuu ukiuvhezea vibaya utakuja kujuta uzeeni kiukweli yaliyonikuta jana ni habari nyingine wakuu mniombeea

Jana maeneo fulani ya Binyampola hapa Kahama nilienda zangu kuosha rungu kwa sababu bado ni shida na wife wangu hatujakaa sawa kitu kinachopelekea kuninyima unyumba na kuniongelea maneno ovyo kitandani. Sasa bwana wakati naenda pale kuna pisi nikaiona wakuu sasa bwana si ndiyo nikaipiga sound?

Pisi ikajaa kabisa niakenda kumnunulia pombe pale amekunywa weee mishale ya saa sita nikaondoka nae na ndinga yangu ya prado tx mchaga mpaka lodge kwa jina x pale per day 150,000 sasa bwana mimi si kwasababu ya upwiru? Nikamvamia pale mbaya zaidi nilimpakia mkongo eti ili kumkomoa bwana wewe nimepiga mshindo wa goli 8 jana wakuu

Baadae baada ya kukulana leo nimemuita hapa hospital ili tupime afya nikampima na sd bioline ikaonesha mistari miwili aisee nilishituka ila demu ananiangalia fresh nikaona sio isiwe nikampima na unigold kitu ikasoma aisee kwamba binti ni positive aiseee moyo ulilipuka na ukaenda mbio nikajikuta nimetandikiwa na ringer lactate hapa hapa hospital lengo wani resuscitate nimeamka nimekutana na pep ila mimi nakataa kunywa
Naona una matatizo! Unatuona sisi ni watoto wezako eti!?
 
Bado nasisitiza uwepo wa kashata kwa kila birika la kahawa...
 
Huu upwiru utakuja kutuua jamani aisee tunapaswa kuwa na tahadhari wakati huu wa ujana wadau ama kweli ujana ni kaa la moto wakuu ukiuvhezea vibaya utakuja kujuta uzeeni kiukweli yaliyonikuta jana ni habari nyingine wakuu mniombeea

Jana maeneo fulani ya Binyampola hapa Kahama nilienda zangu kuosha rungu kwa sababu bado ni shida na wife wangu hatujakaa sawa kitu kinachopelekea kuninyima unyumba na kuniongelea maneno ovyo kitandani. Sasa bwana wakati naenda pale kuna pisi nikaiona wakuu sasa bwana si ndiyo nikaipiga sound?

Pisi ikajaa kabisa niakenda kumnunulia pombe pale amekunywa weee mishale ya saa sita nikaondoka nae na ndinga yangu ya prado tx mchaga mpaka lodge kwa jina x pale per day 150,000 sasa bwana mimi si kwasababu ya upwiru? Nikamvamia pale mbaya zaidi nilimpakia mkongo eti ili kumkomoa bwana wewe nimepiga mshindo wa goli 8 jana wakuu

Baadae baada ya kukulana leo nimemuita hapa hospital ili tupime afya nikampima na sd bioline ikaonesha mistari miwili aisee nilishituka ila demu ananiangalia fresh nikaona sio isiwe nikampima na unigold kitu ikasoma aisee kwamba binti ni positive aiseee moyo ulilipuka na ukaenda mbio nikajikuta nimetandikiwa na ringer lactate hapa hapa hospital lengo wani resuscitate nimeamka nimekutana na pep ila mimi nakataa kunywa
Lodge per day 150,000,ndinga Prado TX,kwani humu mmelogwa?
 
Huu upwiru utakuja kutuua jamani aisee tunapaswa kuwa na tahadhari wakati huu wa ujana wadau ama kweli ujana ni kaa la moto wakuu ukiuvhezea vibaya utakuja kujuta uzeeni kiukweli yaliyonikuta jana ni habari nyingine wakuu mniombeea

Jana maeneo fulani ya Binyampola hapa Kahama nilienda zangu kuosha rungu kwa sababu bado ni shida na wife wangu hatujakaa sawa kitu kinachopelekea kuninyima unyumba na kuniongelea maneno ovyo kitandani. Sasa bwana wakati naenda pale kuna pisi nikaiona wakuu sasa bwana si ndiyo nikaipiga sound?

Pisi ikajaa kabisa niakenda kumnunulia pombe pale amekunywa weee mishale ya saa sita nikaondoka nae na ndinga yangu ya prado tx mchaga mpaka lodge kwa jina x pale per day 150,000 sasa bwana mimi si kwasababu ya upwiru? Nikamvamia pale mbaya zaidi nilimpakia mkongo eti ili kumkomoa bwana wewe nimepiga mshindo wa goli 8 jana wakuu

Baadae baada ya kukulana leo nimemuita hapa hospital ili tupime afya nikampima na sd bioline ikaonesha mistari miwili aisee nilishituka ila demu ananiangalia fresh nikaona sio isiwe nikampima na unigold kitu ikasoma aisee kwamba binti ni positive aiseee moyo ulilipuka na ukaenda mbio nikajikuta nimetandikiwa na ringer lactate hapa hapa hospital lengo wani resuscitate nimeamka nimekutana na pep ila mimi nakataa kunywa
Jiandae kuimbiwa nyimbo za msiba

Parapanda italia,parapanda *2
 
Back
Top Bottom