Nimekuja na mrejesho wa Samsung A series

Nimekuja na mrejesho wa Samsung A series

Kwa maana ya neno midrange ni sahihi kwani ata wao Samsung wanaziita hivo ila kuhusu ubora sio kweli zinalingana na Tecno au infinix

Katika A series kuna hizo midrange ambazo huwezi kulinganisha na kina Tecno na kuna low range ambazo ni kweli unaweza linganisha na kina Tecno

Mfano nitajie simu moja Tecno/infinix ambayo kiubora wa motherboard, software, specifications, technology ambazo unaweza kuziweka kundi moja na A series midrange Samsung kama A52 5G, A54 5G, A73 5G

Nyie mnalinganisha A series zile za low budget kama A23,A14 nk na hizo Tecno na infinix ndomana mnakuja na cheap conclusion kuwa A series ni Sawa na Midrange za Tecno na infinix, kuna Samsung Midrange ndo flagship ya kampuni zingine kiongozi
Mkuu siwezi kurudia kitu kilichoandikwa humu miaka karibu 2 au 3 iliyopita unaweza kusearch kuna thread ya uchambuzi wa hizo simu hadi components zilizoziunda wakizicompare na simu nyingine.. Yaha nakubaliana na wewe kwamba kuna ambazo ni bora zaidi lakini nazo zinakutana na wapunzani toka kwa simu za xiomi, vivo n.k ambazo sometimes zinakuwa better na cheap zaidi ya hizo.
 
Mkuu siwezi kurudia kitu kilichoandikwa humu miaka karibu 2 au 3 iliyopita unaweza kusearch kuna thread ya uchambuzi wa hizo simu hadi components zilizoziunda wakizicompare na simu nyingine.. Yaha nakubaliana na wewe kwamba kuna ambazo ni bora zaidi lakini nazo zinakutana na wapunzani toka kwa simu za xiomi, vivo n.k ambazo sometimes zinakuwa better na cheap zaidi ya hizo.

Hapo kwenye kusema zinakutana na wapinzani toka simu za Xiaomi nakubali maana hii kampuni ina simu Bora sana kusema ukweli na price zao ni very reasonable

Shida yangu ni pale ulipo compare A series kwa Tecno na infinix, hizi simu kibongo bongo zimejikita kwenye Branding na Advertisement mwanzo mwisho ila ubora wa simu zao kulinganisha na bei zao hapana aisee

Waga nashangaa sana mtu anawezaje kutoa laki 5 -6 ananunua infinix au Tecno ila ndo hivo inawezekana na watu wanatoa kiroho Safi, watumiaji wa hizi simu wako limited sana na uelewa wa simu, wao wanachokifanya ni kubadirisha matoleo mapya Tu
 
Hapo kwenye kusema zinakutana na wapinzani toka simu za Xiaomi nakubali maana hii kampuni ina simu Bora sana kusema ukweli na price zao ni very reasonable

Shida yangu ni pale ulipo compare A series kwa Tecno na infinix, hizi simu kibongo bongo zimejikita kwenye Branding na Advertisement mwanzo mwisho ila ubora wa simu zao kulinganisha na bei zao hapana aisee

Waga nashangaa sana mtu anawezaje kutoa laki 5 -6 ananunua infinix au Tecno ila ndo hivo inawezekana na watu wanatoa kiroho Safi, watumiaji wa hizi simu wako limited sana na uelewa wa simu, wao wanachokifanya ni kubadirisha matoleo mapya Tu
Mkuu hizi simu za A series low end zilikuwa na processors za mtk sawa na ilivyokuwa tecno wherever. Kuna uchambuzi wake humu mkuu
 
Mkuu hizi simu za A series low end zilikuwa na processors za mtk sawa na ilivyokuwa tecno wherever. Kuna uchambuzi wake humu mkuu
Naelewa vizuri sana Mkuu na ndomana quote yangu ya Kwanza nilikutajia baadhi ya matoleo ya A series ambazo ni haki kuzi compare na Tecno na infinix

Nilitaja A13,A14 hizi kwenye ni A series za low budget, ila nikataja tena A series ambazo ni pure midrange ambazo huwezi Ku compare na simu za Tecno na infinix though zote ni A series

Na uzuri wa Samsung A series za kawaida na bei yake inakuwa ya kawaida kabisa ambayo kila mtu anaweza kuafodi ila shida ipo kwa hao Tecno na infinix jamaa wana overprice simu zao balaa, unakuta infinix ya hovyo kabisa eti laki 400k-500k ilhali A series za hovyo ni 250-300k
 
Hiyo simu umeinunua wapi? Kama watu wanatoa copy ya iPhone kwa mwonekano ni iPhone lakini sio! Watashindwaje Samsung Galaxy! Samsung ni simu bora Next to IPhone! Hiyo simu ulipigwa kwa kupenda vya bwerere!
hapo ungetaja sehemu maalumu ambapo ni og basi
manake umeambiwa kabisa ameipima amekagua
so usiseme fake

kuhusu a series ni hovyo kweli kweli
sio ishu kuwa fake au kuwa og

acha tabia za kihaya
 
Inanekana hukuwa na ufahamu wa samsung. Kama simu zingine ina madaraja.
F series, J series, A series, NOte na S series

J series (wanyonge series) hii ni kwa wale ambao uwezo wa ku afford A series ni mgumu kwao

A series ni mid range phones. So hapa hutopata quality 100%
Hapa walilenga unafuu wa bei lakini unatapa vitu vichache mno ambavyo vinapatikana kwenye flagship

S series ndio flagship edition. Hapa ndio unapata top quality
Kwenye hardware ndio unapata vitu vya chini sana kuliko flagship.
Ila kwenye software Samsung anainclude features nyingi za flagship kwenye midrange zake pia kasoro Samsung DeX (Labda na hizi new AI features)
Ila software experience is pretty the same.
 
Huyu jamaa kuna uwezekano hajapata copy ila alikua na matarajio makubwa sana kuhusu hio simu..

Samsung matoleo mapya YOTE Power button asaivi hauzimi direct, inakuletea options 4,
Power Off, Restart, Emergency call & Medical info
How-to-power-off-Samsung-Galaxy-S24-Ultra.jpg
Pia Samsung matoleo mapya YOTE ukiwasha hawaandiki models # kama zamani,
Ni hivyo hivyo Samsung Galaxy, labda wanamalizia na Powered by Android .
Screenshot_20240715_203534_YouTube.jpg
Kwahio kwa nyaja hizo ulizotolea reference boss hakuna mabadiliko yoyote hata kwa S24 ultra,
A - Series iliyopo Juu asaivi ni A55 5G, wamerudisha Metal frame, Glass back n.k, vitu ambavyo vilikua vinapatikana kwenye flagship tuu, na A Series za 2016 & 2017
Kama A7/A9/A9 Pro 2016 n.k
Kuhusu screenshot Najua kwa simu yako inatakiwa u press power button + Volume down at once,
Kama inakataa hapo sasa ndio uanzw kua na mashaka na hio simu..

Sikushauri sana kubadilisha halafu ukanunu Note/S 10 Plus, ni simu ya mda(2019) Piga ua utapata Mtumba au refurb, Disappointment kubwa itaanza kwenye Battery hasa kwa wewe unayetoka kwenye A34,

Toka Samsung au tafta latest
 
Upande wa samsung A series kuanzia a50 kupanda wanajitahidi kufanya vizuri kwenye simu zao. Hizi A40 kushuka ndo wanatoa za bei rahisi. Pia kuna hizi za A0x zote ni kawaida sema watumiaji walio wengi wanajali jina tu. Pia kumbuka kuna simu zingine zinatolewa na washirika wa Samsung kwa jina la samsung, ingia google tafuta Samsung jdm uelewe zaidi.
 
Samsung A52, A54, unaweza kuzifananisha na simu gani ya Tecno!!! Hauzijui Samsung wewe
tecno camon 30 premier 5g anazikalisha hizo takataka zote katika kila kitu unachokijua wewe unabisha?
 
Hapo kwenye kusema zinakutana na wapinzani toka simu za Xiaomi nakubali maana hii kampuni ina simu Bora sana kusema ukweli na price zao ni very reasonable

Shida yangu ni pale ulipo compare A series kwa Tecno na infinix, hizi simu kibongo bongo zimejikita kwenye Branding na Advertisement mwanzo mwisho ila ubora wa simu zao kulinganisha na bei zao hapana aisee

Waga nashangaa sana mtu anawezaje kutoa laki 5 -6 ananunua infinix au Tecno ila ndo hivo inawezekana na watu wanatoa kiroho Safi, watumiaji wa hizi simu wako limited sana na uelewa wa simu, wao wanachokifanya ni kubadirisha matoleo mapya Tu
tecno camon 30 premier anayakalisha hayo makubwa jinga yote uliyoyataja hapo juu.
 
Mkuu siwezi kurudia kitu kilichoandikwa humu miaka karibu 2 au 3 iliyopita unaweza kusearch kuna thread ya uchambuzi wa hizo simu hadi components zilizoziunda wakizicompare na simu nyingine.. Yaha nakubaliana na wewe kwamba kuna ambazo ni bora zaidi lakini nazo zinakutana na wapunzani toka kwa simu za xiomi, vivo n.k ambazo sometimes zinakuwa better na cheap zaidi ya hizo.
point ya jamaa sio ushindani shida ni kuzishusha kwamb ni kama Infinix kitu ambacho jamaa amekidadafua kwamb sio A series zote zipo kama infinix mkuu acha kukaza kichwa
 
Habari wadau niliomba ushauri hapa simu ipi bora kati ya samsung galax a 33 au a345g. Nimenunua a345g nimegundua hizi simu za a series ni infinix iliyochangamka. Sijazoea samsung za hivi jamani, sijapenda kabisa. Na ni simu original nimeipima vya vipimo vyote vya bimei, ma sensor sijui. Mliowahi kutumia S na note series afu mkatumia a series mtanielewa.
Sidhani kama hiyo ni samsung A34 nahisi umepigwa
 
Niletee infinix yeyote ile inayoweza kuipiku A54
Zipo Infinix zinashinda hata Galaxy A55 kwa uwezo hasa inapokuja kwenye suala la hardware. Mfano Infinix GT 20 Pro ina hardware nzuri kuliko midrange yoyote ya Samsung.
Ni kweli Infinix haiwezi kufikia Samsung ila hii ni kwa upande wa software, AI, na hata hardware ambazo Infinix hawezi kugusa Samsung ni za kwenye flagship tu yani hizi S24 series au S23 series ila kwenye midrange huku makampuni mengi ya Kichina yana midrange nzuri kushinda Samsung. Hata Tecno anatoa very competitive midrange kuliko Samsung, ila Samsung iko tu ahead kwenye software UX, na software support.... Oooh nusu nisahau.. Na brand pia. Samsung ni jina kubwa kuliko Infinix
 
tecno camon 30 premier anayakalisha hayo makubwa jinga yote uliyoyataja hapo juu.
Camon 30 premier ni Tsh ngapi? Na una uhakika inakalisha midrange za Xiaomi? Taja bei ya Camon 30 premier nikutajie Xiaomi ya bei hiyo ambayo hiyo Tecno kamwe haiwezi gusa
 
Back
Top Bottom