Nimekukosea sana baba yangu, naomba Msamaha

Nimekukosea sana baba yangu, naomba Msamaha

Kwa sasa utakuwa mbali. Katika ukoo wetu ni marufuku mtoto kurithi. Kwamantiki hiyo kila mtu hutafuta vyake. Babu alinieleza kuwa hakurithi, baba pia hakurithi na mimi sikurithi. Hata kijana wangu wa kwanza alipokuwa chuo nilimuuliza ni kiasi gani nimpe kila mwezi, akasema nimepata mkopo na kama hautatosha nitakueleza. Namshukuru mungu hakutaka hata senti moja. Alipomaliza akaanzisha kampuni ambapo sasa ana pesa kunizidi.

Mchawi wetu waafrika ni mentality ya URITHI au urisi kwa kichagga. Urisi ni kushirikiana umasikini (share poverty)
Sema hii ni kwa koo ambazo bado zinajitafuta. Koo zilizojipata zenye pesa kongwe utajiri unarithishwa. Koo kama za Rostam, mengi, gsm, Trump nk ni utajiri wa vizazi, watoto na vizazi vyake vitarithi
 
Waefeso 6:5
"Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba ni kumtii Kristo;"

Mkuu unaposema Mungu unamaanisha huyu anayetambua uwepo wa watumwa na kuamrisha watumwa wawatii mabwana zao kama vile ni kumtii kristo?

Paulo hakuwa mtume Wala Nabii
Wakristo wengi wamepotoshwa na Paulo
 
Nimefanya makosa makubwa na nimekukosea pakubwa imetosha sasa na nimeamua kukuomba msamaha popote pale ulipo.

Baba nimekua mjeuri kwako kwa kuzani kuna mahitaji ulipaswa kuyatimiza kwangu na umeshindwa kizembe,

Nilikuwa nawaza kuwa:

1) Kusomesha mtoto kwenye shule za gharama ni kitu rahisi
2) Kujenga mjini ni kitu rahisi na ulijisahau kwa hanasa za mjini
3) Kumiliki mashamba na viwanja ulizembea na kuendekeza starehe
4) Pia nilikuwa najua ni uzembe wako ndio maana hauna mali kama wazee wenzako, ni uzembe wako ukashindwa kumiliki gari, pikipiki, hata baiskeli

Baba haukupaswa kulaumiwa kumbe.

Sasa na mimi mwanao naanza kuzeeka na hakuna nilichounda katika dunia,. Nilichogundua ni kuwa Maisha ni ghali sana na hakuna mtu anayependa kufedheheka, ni Mungu tu mwenye umchagua nani asimame wapi na wapi. Sio kwa uzembe wako wala sio kwa ujanja wao.

Wala sio makosa ya baba wa mababa zako ma babu wa mababu zako ni Mungu tu mwenyewe.

Pia nimegundua kuwa hata kuihifadhi PESA yenyewe ni jambo kubwa sana katika dunia ya leo.

Unapata pesa kidogo mara mtoto anaumwa mke anaumwa mara madeni mara makesi mara PESA hakuna mara uzee nao HUO.

Baba haukupaswa kulaumiwa maisha ni MAGUMU mno.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Umeanza kutoka usingizini ila usije kujifariji kama mlevi nafasi unayo karibu kijijini njoo upande hata Eka mbili tu za miti ya mikaribea kwa gharama ya milioni mbili na mashamba hayo yatakuwa ya kwako baada ya miaka 10 mbele utanishukuru.....
 
Umeanza kutoka usingizini ila usije kujifariji kama mlevi nafasi unayo karibu kijijini njoo upande hata Eka mbili tu za miti ya mikaribea kwa gharama ya milioni mbili na mashamba hayo yatakuwa ya kwako baada ya miaka 10 mbele utanishukuru.....
Kijiji gani na mkoa gani
 
Sometimes kwenye kufanikiwa familia inahitajika sana kutoa support.
Kuna muda unapambana sana katika hustling zako ila kuna sehem kidogo unafeli sasa hapo ukipata support ndo inakua boom na ukifeli kupata support inakua slump. Asilimia kubwa ya waliofanikiwa kuna support waliipata kutoka katika familia zao kama familia choka mbaya sana kufanikiwa wewe labda ukavunje duka uibe.
 
Na ukilijua hili mapema, mtoto utaishi kwa amani saana. Ukipewa 50 ya shule hewala, ukikosa sawa, ukipewa 200 sherehe, siku ukipewa 30 burudani pia.
Nakumbuka bimkubwa mara nyingi asubuhi alikuwa akipenda tuongozane, tukifika kigamboni pale kabla ya kuoanda pantoni ananinulia biscuit flani hivi zilikuwa zinaitwa mabrooq kama sikosei, akinipa na shilingi 100 yangu au 200 ya noti aah, enzi hizo nauli ni 20 ama 30 kwa mwanafunzi kama sikosei.napanda mabasi mawili kwenda shule na mawili kurudi, so nikija nae mpaka feri maana yake daladala la kwanza anakuwa kanilipia, hapo Naenda shule naamani kabisa.
Mapumziko nikijibless mihogo na ka SUNVITA kangu, siku hiyo ni muruwa kabisa.

Siku 1😂 nipo feri, tayari gari la kwanza nishalipiwa, kaninunulia biscuit na kanipa 200 yangu, nakutana na watoto wamenitolea buku, wananiomba chenji nikawajibu sina, nina 200 tu, wakaniuliza unaenda shule na 200, nikajibu ndio, aah, walicheka saana, moyoni nikajisemea hawa maKUMER nini, sasa kinachowachekesha nini, wakati mie mwenyewe hapa naenjoy.. Nikipewa buku si ninaweza gongwa na gari kwa kuwehuka. 😂🤣


Kuna mahali sijaelewa “kwa hiyo ukiwa Mdogo hivyo ulishajua kuna makumer”
 
Nimefanya makosa makubwa na nimekukosea pakubwa imetosha sasa na nimeamua kukuomba msamaha popote pale ulipo.

Baba nimekua mjeuri kwako kwa kuzani kuna mahitaji ulipaswa kuyatimiza kwangu na umeshindwa kizembe,

Nilikuwa nawaza kuwa:

1) Kusomesha mtoto kwenye shule za gharama ni kitu rahisi
2) Kujenga mjini ni kitu rahisi na ulijisahau kwa hanasa za mjini
3) Kumiliki mashamba na viwanja ulizembea na kuendekeza starehe
4) Pia nilikuwa najua ni uzembe wako ndio maana hauna mali kama wazee wenzako, ni uzembe wako ukashindwa kumiliki gari, pikipiki, hata baiskeli

Baba haukupaswa kulaumiwa kumbe.

Sasa na mimi mwanao naanza kuzeeka na hakuna nilichounda katika dunia,. Nilichogundua ni kuwa Maisha ni ghali sana na hakuna mtu anayependa kufedheheka, ni Mungu tu mwenye umchagua nani asimame wapi na wapi. Sio kwa uzembe wako wala sio kwa ujanja wao.

Wala sio makosa ya baba wa mababa zako ma babu wa mababu zako ni Mungu tu mwenyewe.

Pia nimegundua kuwa hata kuihifadhi PESA yenyewe ni jambo kubwa sana katika dunia ya leo.

Unapata pesa kidogo mara mtoto anaumwa mke anaumwa mara madeni mara makesi mara PESA hakuna mara uzee nao HUO.

Baba haukupaswa kulaumiwa maisha ni MAGUMU mno.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

Ni somo zuri kwa vijana wanao laumu wazazi wao!
 
Sometimes kwenye kufanikiwa familia inahitajika sana kutoa support.
Kuna muda unapambana sana katika hustling zako ila kuna sehem kidogo unafeli sasa hapo ukipata support ndo inakua boom na ukifeli kupata support inakua slump. Asilimia kubwa ya waliofanikiwa kuna support waliipata kutoka katika familia zao kama familia choka mbaya sana kufanikiwa wewe labda ukavunje duka uibe.
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom