kulikua na wizi wa wino wa bic...
Nakumbuka kila jumatano nilikuwa siendi shule sababu ya table (orodha) mwl wa hesabu alikuwa hatari hasa table ya 7 na ya 9. Darasa la tano nilikuwa namuuzia mwl vibagia basi navila halafu nasingizia watoro wamekopa, mwl alivyojua nikaacha kwenda shule , bibi akanidunda then akalipa deni. Kuna nyimbo za kuruka kamba kama anayeingia tumfanye wakwanza manu amanuliwe kamba ikikukwama unavutwa juu juu, hadi unachaniwa chupi. Those days bana achaa.
Dah wizi wa wino tena.HAHAHAHHAHAAHHHHHH!!!!Mtu anaiba wino alafu baadae unavujia kwenye mfuko!!!Au wengine tulikua tunaweka alama kalamu zetu....mtu akiiba anatupa bomba anachukua mrija tu!!!Yani umenifurahisha kweli!!!
Dah wizi wa wino tena.
unaweka kioo chini ya dawati la msichana and then una-look naniiiii!
oooohhhh my dear lizzy
umenikumbusha mbali sana
mie ninacho kumbuka zaidi ni
nway hivyo viazi vitamu ndo sintakaa nivisahau..
- ufuta
- gubiti
- kashata
- sambusa na vitumbua
- mihogo na viazi vitamu ( hapo na chachandu au siki mmhhh)
ilikuwa mapumziko ya saa nne..
najitafunia zangu viazi vitamu wacha kengele ya kurudi madarasani igongwe
nikawa nakimbia na viazi mdomono wacha ninyogwe mmhh
nilitaka kunywa maji yaliyo simama barabarani
uzuri nilikohoa sana vikatoka vyote vingine na pua
halafu nikachelewa darasani fimbo tatu
nani ambiwa nikapige magoti nje ya darasa niite mvua
mpaka hicho kipindi kiishe ..
nilikosa hamu ya maisha
hahah lol
Lizzy
Nakumbuka kuna rafiki yangu baba yake alijinyonga!Nampitia asubuhi tuongozane nakuta kwao kumejaa watu.....kumbe baba wa watu kajinyonga...tena kisa mapenzi!!
AD
hapo umenikumbusha rafiki yangu mmoja baba yake alifanya hivyo hivyo na kwa ajili hiyo hiyo
huyo kija jina lake linaanziwa na A na baba yake ni B
A alikuwa mtumikizi kanisani na mimi
na baba yake alikuwa mpiga kinanda mzuri sana kanisani...
kweli umenikumbusha mengi sana my dear ..
Hehhehe....AD maakuli mbele ehh!!!
Uwiiiii jamani eti kuita mvua....nimecheka mpaka basi wee!!!Sisi ilikua unapiga magoti mbele ya darasa.....yani full aibu wenzio wanasoma we unaita mvua!!Alafu wenzako walichoandika kesho ukikutwa hukuandika unalo!!!Dah kweli tulikua na kazi!!!
oooohhhh my dear lizzy
umenikumbusha mbali sana
mie ninacho kumbuka zaidi ni
nway hivyo viazi vitamu ndo sintakaa nivisahau..
- ufuta
- gubiti
- kashata
- sambusa na vitumbua
- mihogo na viazi vitamu ( hapo na chachandu au siki mmhhh)
ilikuwa mapumziko ya saa nne..
najitafunia zangu viazi vitamu wacha kengele ya kurudi madarasani igongwe
nikawa nakimbia na viazi mdomono wacha ninyogwe mmhh
nilitaka kunywa maji yaliyo simama barabarani
uzuri nilikohoa sana vikatoka vyote vingine na pua
halafu nikachelewa darasani fimbo tatu
nani ambiwa nikapige magoti nje ya darasa niite mvua
mpaka hicho kipindi kiishe ..
nilikosa hamu ya maisha
hahah lol
Dah...Mungu awapumzishe....wangu jina lake lilikua linaanza na H...baba yake R!!
OffTopic.....kuna sehemu kuleeee kwenye utani nimeona zile herufi C na S nna ndugu zangu wawili mnashea hiyo kitu!!!
Hahaaa gubiti, ufuta na malosti, nyie mnanichekesha, je ma bumunda na pipi za kijiti za sukari ilounguzwa, ooh my gundness mmenikumbusha mbali kishenzi.
unaweka kioo chini ya dawati la msichana and then una-look naniiiii!