Nimekuta alama za masanduku la wajerumani chini ya ardhi shambani kwangu

Nimekuta alama za masanduku la wajerumani chini ya ardhi shambani kwangu

Mtu wa leo

Member
Joined
Apr 21, 2023
Posts
75
Reaction score
97
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
 
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Achana na huo ujinga, utakuja kufukuwa mabomu, nani mjinga afukie mali hivi mnadhani Wajerumani walikuwa maboya kama nyinyi?

Yani wakuibie mjusi wa Dianasor wapeleke kwao halafu ndio wakuachie mali chini ya ardhi?
 
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Yalishachukuliwa kilichobaki ni hayo mazege
 
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Tunaomba picha
 
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Kwa niaba ya wizara ya ardhi, wizara ya kilimo, TRA, wizara ya biashara na viwanda NAOMBA UNITUMIE LOCATION halafu nitakupa ushauri wa nini cha kufanya 🤔
 
Mimi nimeipata Red mercury
IMG-20250116-WA0083.jpg
 

Attachments

  • 20250117_073640.jpg
    20250117_073640.jpg
    326.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250117-072954.png
    Screenshot_20250117-072954.png
    71 KB · Views: 5
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Mmetuma magerifrendi kutupata wameshindwa, sasa mnatuwekea mtego wa mali.

Kaa nazo mwenyewe, umeona wapi mtu kaokota gunia la pesa kisha akautangazia umma?
 
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang

January hii watu wakiona jiwe la njano tu wanajua ni dhahabu
 
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Mkuu,Manyara ni jina la Mkoa na Hanang ni jina la Wilaya na Mlima; hivyo tujulishe ni Kijiji gani?
 
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Acha kuwavutia watu utapeli wa kipuuzi, fanya kazi... Tapeli wewe.... Hakuna asiyejua aina hiyo ya utapeli... na kama nakuonea ni kweli basi picha piga kama maelezo yako yalivyo weka humu, ikithibitika nipigwe ban na ukishindwa mods wakufungie maisha kuepusha utapeli wa mara kwa mara humu
 
Back
Top Bottom