Mtu wa leo
Member
- Apr 21, 2023
- 75
- 97
Achana na huo ujinga, utakuja kufukuwa mabomu, nani mjinga afukie mali hivi mnadhani Wajerumani walikuwa maboya kama nyinyi?Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Yalishachukuliwa kilichobaki ni hayo mazegeWakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Tunaomba pichaWakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Kwa niaba ya wizara ya ardhi, wizara ya kilimo, TRA, wizara ya biashara na viwanda NAOMBA UNITUMIE LOCATION halafu nitakupa ushauri wa nini cha kufanya 🤔Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Mmetuma magerifrendi kutupata wameshindwa, sasa mnatuwekea mtego wa mali.Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
Mkuu,Manyara ni jina la Mkoa na Hanang ni jina la Wilaya na Mlima; hivyo tujulishe ni Kijiji gani?Wakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang
DawarMkuu,Manyara ni jina la Mkoa na Hanang ni jina la Wilaya na Mlima; hivyo tujulishe ni Kijiji gani?
Acha kuwavutia watu utapeli wa kipuuzi, fanya kazi... Tapeli wewe.... Hakuna asiyejua aina hiyo ya utapeli... na kama nakuonea ni kweli basi picha piga kama maelezo yako yalivyo weka humu, ikithibitika nipigwe ban na ukishindwa mods wakufungie maisha kuepusha utapeli wa mara kwa mara humuWakuu za Usiku huu
Leo katika Harakati za Kilimo wakati Jembe la Trekta linapita kuna sehemu likakutana na Jiwe gumu sanaa na kuna alama ya zege la kutisha baada ya Kuuliza wazee wakaniambia Hapa pana Sanduku la Mjerumani na kwa maelezo yao Masanduku hayo yanakuwa na vitu vya thamani so kama kuna wataalam humu nicheck pm nikupe location mje mfanye utafiti
Manyara-Hanang