Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Duh ww jamaa una matatizo ya akiliAsante kwa ushauri ndugu ila najaribu kumwambia mchungaji nione atanisaidiaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ww jamaa una matatizo ya akiliAsante kwa ushauri ndugu ila najaribu kumwambia mchungaji nione atanisaidiaje
Huwa kwenye pakiti moja zinakuwa pieces 3. Kama umekuta pieces 2 Basi ni hakika kuwa piece moja ilitumika😢😆Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.
#depression is real
MrejeshoHabari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Mrejesho
Unapitapita kule mkuu?Kamtafute kwenye uzi wa rikiboy wa kula tinda kimasihara
Na wewe mnunulie box la condom na caton ya KY,akikuuliza za nini mwambie unafurahi ya kwamba anatombwa kwa kujikinga.....utakua umempa funzo mkuu fanya ivoHabari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2, sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha, naombeni ushauri wenu.
#depression is real
haaaahaa lifala sana hilo jamaaItakuwa rafiki ake alisahau kwenye mkoba wake
😅hapana mkuuUnapitapita kule mkuu?
Nimekusoma mkuu, upitepite huko uone jinsi mnavyoliwa kimasihara mkuu.🤣😅hapana mkuu
Ni fedheha kwakweli. Ndugu zangu wangekua wanajua wakiliwa wanatangazwa wangekua wanakazaNimekusoma mkuu, upitepite huko uone jinsi mnavyoliwa kimasihara mkuu.🤣
Kumbe na ww unatumiaga njooo tutumie wote basi msweetHuwa kwenye pakiti moja zinakuwa pieces 3. Kama umekuta pieces 2 Basi ni hakika kuwa piece moja ilitumika😢😆
Alipiga chini.Officially divorced
Rasmi wanajamvi nimekabidhiana Talaka na Mke wangu Hahahaha na furaha ya ajabu Vijana Msioe Ndoa ni us***ge. Atakayetaka kujumuika nami kwenye furaha yangu Karinyos Kinondoni tule Gambewww.jamiiforums.com
Naona kama vile Ndoa ilivunjika..