Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh pombe gani hiiUsitumie tena kvant mkuu tumia hii! Kingine hicho kilaishi usikute ni ya mafuta ya mtume/nabii kawe maana anawekaga kwenye vichupa flani hiviView attachment 2405865
Hiyo juice ya miwa kutoka loliondoDuh pombe gani hii
Kilainishi umekiona wapi ?Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Ndugu yanguHabari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Japo naendelea kupitia changamoto naona pia unanitusi badala ya kunishauri
Naomba namba zakeJapo naendelea kupitia changamoto naona pia unanitusi badala ya kunishauri
Samahani mkuu Kwa hilo umenikera sana.wanaume ni majasiri katika familia zao Siri za chumbani zinabaki chumbani wana JF wengi hatujuani sio mbaya sana. mueke chini mkeo akuambie ukweli Kwanza usikurupuke Kwa kila mtu kumuelezea mambo hayoAsante kwa ushauri ndugu ila najaribu kumwambia mchungaji nione atanisaidiaje
😡 Amesema ni mkewe hizo namba zake za nini mkuuNaomba namba zake
Kama kusoma hujui hata picha nayo huoni? Wenzako wanafukua hadi mtaro.Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Ni kweli lakin kuna aina nyingi za wanawake huenda jamaa alishawahiwa, means alishapigwa limbwata la maisha so huwezi jilinganisha nae. Haiwezekani uone condom plus kilainishi halafu upate mda wa kuja kuuliza huku jamviniSi kweli, you'r gosping, Hakika sio kweli, wenye wake tukiona hivo tunafaham reaction zetu, sio hizo zako. Sio kwel nasema
Nataka kumshauri mke wake😡 Amesema ni mkewe hizo namba zake za nini mkuu
😂bange ikikutwa imeota shambani kwakoo ni yako ,ila dhahabu ni za serekali,