Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Mfuate rafiki take umuulizeau rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfuate rafiki take umuulizeau rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Mchungaji atakugongea juzi tumegawa kondom maofisini inawezekana alichukua akupe au akwambie kwa mfano ofisini kimetokeaAsante kwa ushauri ndugu ila najaribu kumwambia mchungaji nione atanisaidiaje
Usijiue Kwa ajili ya mke wako, uhai wako unathamani sana kuliko mapenzi na maumivu kwa mkeo.Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Hata nami nimeona hii ni chai kabisa [emoji1787]Acheni utoto na stori za alfa ulela
Kilainishi? 😂watu wameshapita na jicho masikiniHabari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Asante kwa ushauri ndugu ila najaribu kumwambia mchungaji nione atanisaidiaje
Huyo atakuwa Mhaya.Acha ufala muulize usijitafutie matatizo ya moyo bure
Ila mwanamke kutembea na kondom means anajiuza yupo kazini mda wowote ule imo
Kwahiyo ushauri utakaopewa na mchungaji ndio utaufuata [emoji848]Asante kwa ushauri ndugu ila najaribu kumwambia mchungaji nione atanisaidiaje
kaa kimya anza upelelezi wa kimya kimya jua hata umuoji vipi lazima akatae kosa .Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.
Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.
Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Una maana gan kusema hivyo [emoji848]Ungebadili heading useme nimekuta condom kwenye begi la mume wangu.
Namtaka mwanaume kama wewe walai.
Ni kama sumu ya panya kutoka loliondo mkuu[emoji2957][emoji849]Ladha yake tafadhari