Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu

Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu

fanya ivi mkague kunako mfereji ukikuta bwawa au marinda hamna huo ndio ushahidi
 
Kaka kama bado unampenda huyo mkeo, fanya uchunguzi wako,
1. Anza na simu yake na hakikisha hajui kama unamchunguza, utapata lead tu
2. Ukipata chochote mtafute jamaa anayekulia mkeo, lipiza kisasi kwa namna utakavyoona ili amfikishie mkeo, hakika mkeo hataweza kufanya ujinga tena maana anajua utajua.
3. Baada ya mkeo kujua kuwa unajua issues zako , mweleze kitakachompata kama atarudia kuliwa nje tena.
4. Mwisho kabisa, kama huna mpango nae tena, ndo tiketi ya kumpiga chini mazima,
unafikiri kama ameshazoea kuliwa tig, anaweza kuacha? kila wakati anakuwa anawashwa, dawa ni wewe mwenyewe kumkuna.
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta conom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.

#depression is real
Sasa umeshajijibu kwamba rafiki yake kazisahau kwenye mkoba wa mkeo unataka nini Tena? Idiot.
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta conom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.

#depression is real
Daaah,pole sana

Ndio maana sikuhizi watu hawawai kuoa
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.

Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.

Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.

#depression is real
Pole sana jaribu kulitoa hili moyoni kwa kumuuliza kwa upole.. Kwa asilimia 100 atakudanganya lakini usiache kumuuliza
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.

Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.

Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.

#depression is real

Huyo fuatilia taratibu utajua nyendo zake kuanzia kazini kwake na anakoanzia kuwa baada ya kazi na kabla ya kurudi nyumbani! Lazima analiwa, rafiki yake gani ataweka kondomu kwenye mkoba wake na yeye asishituke? Lazima anazamisha jogoo la dume mahali!
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.

Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.

Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.

#depression is real

Kilainishi kwa wanawake mara nyingi ni kukidhi maumivu ya mzigo, yaani hapo ni kuwa huyo ni kahaba, anakutana na mbupu za saizi tofauti tofauti, hivyo anaogopa maumivu akikutana na mhogo wa jang’ombe maana hayo maumivu lazima atarudi nayo kwako! Fanya utafiti kwa wanawake wanaotembea na vilainishi watakuambia ni kwaajili ya kuhimili mhogo wa jang’ombe ambao hauna maringo na huona mbususu ilipojificha hata kama kuna giza!
 
si kweli, you'r gosping, Hakika sio kweli, wenye wake tukiona hivo tunafaham reaction zetu, sio hizo zako. Sio kwel nasema
Hata mm naamini sio kweli maana nikiona msg tu ya utata kwenye Simu ya mke wangu namuashia moto
 
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha.

Sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta condom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu.

Japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.

#depression is real
Kama kuna kilainishi ina mana anafirwa , huyo mwanamke hafai hata kidogo
 
Back
Top Bottom