Rahimu dikomwe
Member
- Mar 22, 2017
- 64
- 67
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana yake ni Low value , ameandika kwa kifupi
Hili ndio jibu mubashara kabisa...Maana yake ni Lala Viibwe.
Sasa kama wewe ni 'Msimamizi wa mkeo' unakuja hapa kulialia ili iweje!?, Uanaume na huo usimamizi wako uko wapi? mwanamke ameshakuzidi akili.Msimamizi wa mke ni mume
Ukiwa kama mume unatakiwa uwe na njia ya kukaa na mwenza wako ambapo mnaweza kupata suluhu ya jambo lolote ambalo unakuwa na mashaka nalo.Hawasemagi ukweli Hawa viumbe, so hapa unaweza pata majibu murua kabisa, kwasababu ni jukwaa la wasomi
Kama ni mkeo maana yake wewe ndio umemuoa kwa Ku propose kila kitu,nae alikubali na kitendo cha kukubali maana yake yeye yu tayari kua chini yako hivyo basi muite muweke chini akueleze nini maana ya Lv na ili kujiridhisha Fanya utafiti wa kina kwa kuchukua hiyo namba kwanza contact nae kwa siri ili ufahamu kama ni mwanamke au mwanaume na anapatikana wapiHabari wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika harakati za kuipekua simu ya mke wangu nikakuta jina limeseviwa ''lv" , na tunajua msimamizi wa mke ni mumewe, so kuchunguza kila linaloendelea ni lazima kwa mkewe. Je hili ni neno ama herufi ?, manake ukitaka kulitafsiri kwa lugha ya malkia utapata maana nyingi sana , linamaanisha nini haswa?
Karibuni wadau bila kuchafua hali ya hewa.
Asipate stress ili aje apate ukimwiHuwa wanamaanisha 'love' mkuu, ila nadhan isikupe shida vitu vidogo sana hivi.
Note: usipende sana kuipekua simu ya mke wako utapata stress, Jiamini.
Sawa kiongozUkiwa kama mume unatakiwa uwe na njia ya kukaa na mwenza wako ambapo mnaweza kupata suluhu ya jambo lolote ambalo unakuwa na mashaka nalo.
Pia majibu humu unaweza ukayapata ila bado itakubidi umuulize tu ili upate uhakika zaidi.
Mkuu unachafua hali ya hewa, nimeoa nikiwa mdogo sana (o level), hadi leo nimeweza kumlea, kumlea kwangu sio tatizo kabisa!Kwanini mnaoa wakati hamjakomaa akili? Sasa kama Umeshindwa kujua lv nini maana yake utaweza kweli kumlea mke wewe? Au Unadhani kuchunguza simu yake ndio kumlinda? Nyie ndio mtalea watoto wasio wenu maana kwa ubwege huo utaachaje kumegewa