Nimekuta jina limeseviwa "lv'' kwenye simu ya mke wangu.

Nimekuta jina limeseviwa "lv'' kwenye simu ya mke wangu.

Kama ni mkeo maana yake wewe ndio umemuoa kwa Ku propose kila kitu,nae alikubali na kitendo cha kukubali maana yake yeye yu tayari kua chini yako hivyo basi muite muweke chini akueleze nini maana ya Lv na ili kujiridhisha Fanya utafiti wa kina kwa kuchukua hiyo namba kwanza contact nae kwa siri ili ufahamu kama ni mwanamke au mwanaume na anapatikana wapi
n.k (HAPA MTAFUTE MDADA YEYOTE UNAYEMUAMINI AKUFANYIE HIYO KAZI)
Kwa hali ilivyo sasa waungwana kumchunguza mkeo au mumeo ni wajibu wala tusitake kufanya kua ni jambo la kawaida
Hongera sana kwa ushauri mzuri, hakika wewe utakuwa ni mke mwema na bora kabisa
 
Habari wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika harakati za kuipekua simu ya mke wangu nikakuta jina limeseviwa ''lv" , na tunajua msimamizi wa mke ni mumewe, so kuchunguza kila linaloendelea ni lazima kwa mkewe. Je hili ni neno ama herufi ?, manake ukitaka kulitafsiri kwa lugha ya malkia utapata maana nyingi sana , linamaanisha nini haswa?
Karibuni wadau bila kuchafua hali ya hewa.
Light vehicle (lv)
 
Hahaha nimecheka mkuu..kwamba mume ndio msimamizi wa mke[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...pole sana asee hakuna mtu anaesimamia mwingine..wazai wake pengine walimshindwa uje ww uli3mkuta anajua tayar kuvuka barabra
 
Hahaha nimecheka mkuu..kwamba mume ndio msimamizi wa mke[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...pole sana asee hakuna mtu anaesimamia mwingine..wazai wake pengine walimshindwa uje ww uli3mkuta anajua tayar kuvuka barabra
Siku zote Mume ndiye msimamizi wa mkewe kwa kila kitu,kuanzia mavazi, chakula, huduma zinginezo na hata kiroho na kiimani ,ukiona umeshindwa kumsimamia mkeo na bado ukaendelea kukaa nae basi jua unatenda dhambi kubwa sana na kwetu sisi waislamu zimewekwa Talaka ili sasa wale wanawake waliopotoka na kuota mapembe mbele ya waume zao Waweze kuadhibiwa.
 
Je? Ungekuta kasevu HTB ungeuliza piah...maana HTB= heart beat
 
TUNAWAAMBIA TAFUTENI BIKRA MUONDOKANE NA STRESS HAMTAKI kila siku kulilia maumivu hadi ndoa zenu chungu maana hamuaminiani e

KIUKWELI ILI UISHI KWA AMANI TAFUTA BIKRA UKIKOSA MKE MWENYE HOFU YA MUNGU bila hivyo kila mtu aishi atakavyo mlee watoto
 
Back
Top Bottom