Nimekuta jina limeseviwa "lv'' kwenye simu ya mke wangu.

Hongera sana kwa ushauri mzuri, hakika wewe utakuwa ni mke mwema na bora kabisa
 
Light vehicle (lv)
 
Hahaha nimecheka mkuu..kwamba mume ndio msimamizi wa mke[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...pole sana asee hakuna mtu anaesimamia mwingine..wazai wake pengine walimshindwa uje ww uli3mkuta anajua tayar kuvuka barabra
 
Hahaha nimecheka mkuu..kwamba mume ndio msimamizi wa mke[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...pole sana asee hakuna mtu anaesimamia mwingine..wazai wake pengine walimshindwa uje ww uli3mkuta anajua tayar kuvuka barabra
Siku zote Mume ndiye msimamizi wa mkewe kwa kila kitu,kuanzia mavazi, chakula, huduma zinginezo na hata kiroho na kiimani ,ukiona umeshindwa kumsimamia mkeo na bado ukaendelea kukaa nae basi jua unatenda dhambi kubwa sana na kwetu sisi waislamu zimewekwa Talaka ili sasa wale wanawake waliopotoka na kuota mapembe mbele ya waume zao Waweze kuadhibiwa.
 
Je? Ungekuta kasevu HTB ungeuliza piah...maana HTB= heart beat
 
TUNAWAAMBIA TAFUTENI BIKRA MUONDOKANE NA STRESS HAMTAKI kila siku kulilia maumivu hadi ndoa zenu chungu maana hamuaminiani e

KIUKWELI ILI UISHI KWA AMANI TAFUTA BIKRA UKIKOSA MKE MWENYE HOFU YA MUNGU bila hivyo kila mtu aishi atakavyo mlee watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…