Nimekuta jina limeseviwa "lv'' kwenye simu ya mke wangu.

mambo ya mapenzi ni magumu na ya ajabu mno,mpenzi wangu kitambo nilikuwa nime msave kwa jina lake. baada ya mda nkamsave kimahaba

siku moja kanitafuta kweli nkawa sipokei simu akaja mpaka ghetto baada ya kilicho tokea akashika simu yangu na kukuta missed call ya za jina la kimahaba {ambaye ni yeye) alizua ugomvi mkubwa kuja kujua n yeye akanipenda zaidi

siku nkakuta na mie jina la kimahaba ametoka ongea nae kumbana kumbe ni mama yake. inawezekana sana iyo lv ni love na ikiwa na maana ni mama yake na wala sio mpenzi
 
Kwenye simu za wenzi wenu mnatafutaga nini???? Hamkomagi tu
 
Sio vizuri kukwepa tatizo,dawa ya tatizo ni kulitatua.
Simu ya mwanamke haiguswi..... Sasa ona anajipa presha. Wakat mwingine ukute n mwanamke mwenzie coz sisi tunezoea kuitana love, dia, mpnz ayo ndo majina yetu pale ushost unapokua umezid. Wanaume mkue sasa acheni kupekuliana simu
 
Hapo sasa huu wetu utakuwa ni ubashiri wakati jibu angelipata kwa huyo huyo mwenye simu ambalo lingekuwa la uhakika zaidi.
Kagusa ya nin???? Wao c wanatambaga apa, simu ya mwanaume ione kituo cha polisi na sisi za kwetu wazione ivoivo..
 
Sasa si ungemuuliza yeye?
Naona kiroho kinadunda kweli utakufa kwa presha kisa kupekua simu ya mkeo, uliyataka mwenyewe.
Pole sana
 
Daaaaah huyo tyr aiseee cha kufany we muite chumbani afu mchezeshe kipigo cha hatr mbn ataxem 2
 
Usipanick brother... lv inaweza kuwa namaana nyingi.. ila chunguza vizur sana.. huyo anaeza kuwa mchepuko wake
 
Ni kifupi cha jina la shoga ake anaitwa loveness.
Wala usipate presha
 
Simu ya mke/ Mme Ni sawa na kitunguu maji...So just leave each other's phone mtaishi mpendane daima
 
Simu ya mkeo ya nn ?au unatamani talaka ulikuta bkra ?. Hivi kaka huna kazi ?. Unanunua kila kitu ? Mengine usiulize sana utakufa kabla ya siku zàko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…