Nimekuta naye Januari, baada ya miezi penzi chali

Nimekuta naye Januari, baada ya miezi penzi chali

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Nilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , hiyo ilikuwa January. Baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaani cals and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpaka Kahama tokea Nzega

Yaani baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnoo yaani mpaka ulipofikia mwezi Machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua.

Sasa ndio hivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
 
Nilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , iyo ilikuwa January .. baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaan calss and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpakaa Kahama tokea Nzega

Yaan baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnooo yaan mpaka ulipofikia mwezi machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua ...
Sasa. Dio ivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] pole Sana mkuu
 
Nilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , iyo ilikuwa January .. baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaan calss and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpakaa Kahama tokea Nzega

Yaan baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnooo yaan mpaka ulipofikia mwezi machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua ...
Sasa. Dio ivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
Ndo uje umevaa jezi ya Arsenal jamani,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom