Nimekuta naye Januari, baada ya miezi penzi chali

Nimekuta naye Januari, baada ya miezi penzi chali

Nilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , iyo ilikuwa January .. baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaan calss and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpakaa Kahama tokea Nzega

Yaan baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnooo yaan mpaka ulipofikia mwezi machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua ...
Sasa. Dio ivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
Gengstaa wapi ww sema una muonekano wa kishamba mtu wa nzega tangu lini awe gengistaa acha kujifariji popoma dem kakuona mnyasa sana 😂😂😂 unabahati hukutuma picha mapema angekuchomeaha nauli gengistaa
 
Yani unajaribu kuficha ficha eti muonekano wa kigangstar…Sema wazi muinekano mbaya na haukuwa msafi kabisa hivyo ndio maana umempoteza….ulikwenda umechafuka kabisa na udongo wa Singida mpaka kahama aiseee..😂😂😂😂😂
 
Nilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , iyo ilikuwa January .. baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaan calss and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpakaa Kahama tokea Nzega

Yaan baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnooo yaan mpaka ulipofikia mwezi machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua ...
Sasa. Dio ivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
Wadada wa Kahama wapo kimchongo achana nae
 
fb868d7df1368a483e6ec18b2620b765.jpg
gengsta aliefata maokoto kahama kwa mtoto mkali..🤣🤣🤣
 
Gengstaa wapi ww sema una muonekano wa kishamba mtu wa nzega tangu lini awe gengistaa acha kujifariji popoma dem kakuona mnyasa sana 😂😂😂 unabahati hukutuma picha mapema angekuchomeaha nauli gengistaa
Huyo jamaa atakuwa msukuma.
 
Huyo dada ametumia njia mnayotumia wanaume...Safi sana inaonyesha ni muhudhuriaji mzuri wa vikao vyetu
Acha izo basi Miss G, kwan ww uliwah kupatwa na rejwction ya namna iyoo ?
 
Nilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , hiyo ilikuwa January. Baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaani cals and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpaka Kahama tokea Nzega

Yaani baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnoo yaani mpaka ulipofikia mwezi Machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua.

Sasa ndio hivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
Kwanza mgodi unatema jamaa?
 
Back
Top Bottom