Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
angevaa ya yanga hata ambayo imepauka na kutoboka,angejibebea totoAlivaa ya yanga ile ya watu watu ya mwaka jana demu akawa anaona kabeba watu kwenye nguo akaishia kuogopa akajua ni mizimu ya mwana
Gengstaa wapi ww sema una muonekano wa kishamba mtu wa nzega tangu lini awe gengistaa acha kujifariji popoma dem kakuona mnyasa sana πππ unabahati hukutuma picha mapema angekuchomeaha nauli gengistaaNilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , iyo ilikuwa January .. baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaan calss and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpakaa Kahama tokea Nzega
Yaan baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnooo yaan mpaka ulipofikia mwezi machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua ...
Sasa. Dio ivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
Wengine sa Tisa usiku....hua. nashangaa sanaMkuu una characteristics za wale jamaa wanaopiga simu redioni alfajiri kutuma salamu. Bigup
Wadada wa Kahama wapo kimchongo achana naeNilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , iyo ilikuwa January .. baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaan calss and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpakaa Kahama tokea Nzega
Yaan baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnooo yaan mpaka ulipofikia mwezi machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua ...
Sasa. Dio ivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
na wwe usiku wote huo unashangaa watu.Wengine sa Tisa usiku....hua. nashangaa sana
Huyo jamaa atakuwa msukuma.Gengstaa wapi ww sema una muonekano wa kishamba mtu wa nzega tangu lini awe gengistaa acha kujifariji popoma dem kakuona mnyasa sana πππ unabahati hukutuma picha mapema angekuchomeaha nauli gengistaa
Acha izo basi Miss G, kwan ww uliwah kupatwa na rejwction ya namna iyoo ?Huyo dada ametumia njia mnayotumia wanaume...Safi sana inaonyesha ni muhudhuriaji mzuri wa vikao vyetu
Nilivaa tu kipensi na shati ya mikono mirefu yenye bendeea ya USAangevaa ya yanga hata ambayo imepauka na kutoboka,angejibebea toto
hapana ila shit happensAcha izo basi Miss G, kwan ww uliwah kupatwa na rejwction ya namna iyoo ?
Dah i wish ningepata mtoko wa dating na ww ...mm siwezi watenga watu kwa appearancehapana ila shit happens
karibu mkuu mtoko utakuwa ndani au nje ya nchi?Dah i wish ningepata mtoko wa dating na ww ...mm siwezi watenga watu kwa appearance
Ebu acha kuifananisha arsenal na vitu vya kijinga pumbaavuuNdo uje umevaa jezi ya Arsenal jamani,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza mgodi unatema jamaa?Nilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , hiyo ilikuwa January. Baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaani cals and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpaka Kahama tokea Nzega
Yaani baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnoo yaani mpaka ulipofikia mwezi Machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua.
Sasa ndio hivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo