Nimekuta naye Januari, baada ya miezi penzi chali

Gengstaa wapi ww sema una muonekano wa kishamba mtu wa nzega tangu lini awe gengistaa acha kujifariji popoma dem kakuona mnyasa sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unabahati hukutuma picha mapema angekuchomeaha nauli gengistaa
 
Yani unajaribu kuficha ficha eti muonekano wa kigangstar…Sema wazi muinekano mbaya na haukuwa msafi kabisa hivyo ndio maana umempoteza….ulikwenda umechafuka kabisa na udongo wa Singida mpaka kahama aiseee..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wadada wa Kahama wapo kimchongo achana nae
 
Gengstaa wapi ww sema una muonekano wa kishamba mtu wa nzega tangu lini awe gengistaa acha kujifariji popoma dem kakuona mnyasa sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unabahati hukutuma picha mapema angekuchomeaha nauli gengistaa
Huyo jamaa atakuwa msukuma.
 
Huyo dada ametumia njia mnayotumia wanaume...Safi sana inaonyesha ni muhudhuriaji mzuri wa vikao vyetu
Acha izo basi Miss G, kwan ww uliwah kupatwa na rejwction ya namna iyoo ?
 
Kwanza mgodi unatema jamaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…