Nimekuta sehemu ya mazao yangu yamevunwa na watu wasiojulikana

Nimekuta sehemu ya mazao yangu yamevunwa na watu wasiojulikana

let the caged bird sings

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2020
Posts
3,699
Reaction score
8,857
Leo Asubuhi nimeenda shambani kwangu nimekuta sehemu ya mazao yangu yamevunwa na watu wasiojulikana.

Usiku wa jana majira ya 3 usiku natoka senta kupiga piga story kijiweni nilikutana na vijana Sita wakiwa na Guta wamekwama karibu na Shule yetu ya kijiji na vitu walivyokuwa wamebeba ndivyo kama vile vimeibiwa Shambani kwangu usiku wa leo.

Mmoja kati ya wale Sita nahisi jana haikuwa mara yangu ya kwanza kumuona ila sikumbuki niliwahi muona wapi.
 
Leo Asubuhi nimeenda shambani kwangu nimekuta sehemu ya mazao yangu yamevunwa na watu wasiojulikana.

Usiku wa jana majira ya 3 usiku natoka senta kupiga piga story kijiweni nilikutana na vijana Sita wakiwa na Guta wamekwama karibu na Shule yatu ya kijiji na vitu walivyokuwa wamebeba ndivyo kama vile vimeibiwa Shambani kwangu usiku wa leo.

Mmoja kati ya wale Sita nahisi jana haikuwa mara yangu ya kwanza kumuona ila sikummbuki niliwai muona wapi.
Funga cctv camera
 
Ni wapi huko? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kuna watu wamevurugwa lol.
 
Ni wapi huko? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kuna watu wamevurugwa lol.
ndani ndani uku ilipokuwa hegemony ya Chama cha UDP zamani.

Vitendo vya wizi vimekithili sana kwasasa uku. Tuna Doria ya Kijiji, tunazunguka senta nzima usiku kuhakikisha maeneo yetu ni salama hali inayofanya wezi watupige mashambani sio mijini kwetu tena.
 
Back
Top Bottom