kaitamarogo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 461
- 495
Bro tema madini tuwakomeshe hao watuNi PM nikupe namba!
Afu nikupe kinga ya shamba!
Wakifika wanaharisha au unawakuta ahsubui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro tema madini tuwakomeshe hao watuNi PM nikupe namba!
Afu nikupe kinga ya shamba!
Wakifika wanaharisha au unawakuta ahsubui
Elimu ya mazinge ungekuwa nayo ungekua mnyama Bora kuliko mbuziUngelisema nini kuhusu rozali ikiwa elimu uliyonayo ni kutoka kwa akina Sheikh Mazinge na Michael?.
Nikuuzie Marker4 haina kazi.HAPANA. NITANUNUA GOBOLE NDIYO DAWA YAO.
Dah. Kuna kifaa nime request jioni hii nitakuja PM kwako endapo deal ikibuma.Nikuuzie Marker4 haina kazi.
Sawa mkuu, na shotgun ipo pia.Dah. Kuna kifaa nime request jioni hii nitakuja PM kwako endapo deal ikibuma.
Hawa jamaa wajinga sana,jamaa yangu mmoja pale Tabata walimwimbia wakaacha na huo mzigo 🤣Hawajaacha kimba getoni ili ukiloga lisiwapate.
Kwetu hao watu wangerudisha wenyewee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ndani ndani uku ilipokuwa hegemony ya Chama cha UDP zamani.
Vitendo vya wizi vimekithili sana kwasasa uku. Tuna Doria ya Kijiji, tunazunguka senta nzima usiku kuhakikisha maeneo yetu ni salama hali inayofanya wezi watupige mashambani sio mijini kwetu tena.