let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
- Thread starter
- #21
😂😂 Haupo siriazFunga cctv camera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Haupo siriazFunga cctv camera
Ulimfanya nini ata ukamkuta ivo?Nilikuta asubuhi kajinyea kinoma,kachoka,Hadi nilimuhurumia..lakini hakuna anayeiba kwangu tena
Wizi lazima uongozeje kwa namna hiyoMaisha yamekuwa magumu...
Wizi nao umeongezeka...
Mitishamba sheikh,kabla hata sijapanda nikaweka..wasenge si tunahangaika wao wanabeba tuUlimfanya nini ata ukamkuta ivo?
Ni PM nikupe namba!
Afu nikupe kinga ya shamba!
Wakifika wanaharisha au unawakuta ahsubui
Safi sana Mkuu,kwa kusimamia Imani yakoMimi yangu Rozali na haina hicho kipengere.
Acha dharau mzee,nasi tukisema tufanye hivyo utaweza muziki wake??Rozali ni plastiki ngumu
Kwani rozali imeundwa na nini!?..mziki gani unaonitisha nao ewe muabudu mammalia!?Acha dharau mzee,nasi tukisema tufanye hivyo utaweza muziki wake??
Inauma sanaLeo Asubuhi nimeenda shambani kwangu nimekuta sehemu ya mazao yangu yamevunwa na watu wasiojulikana.
Usiku wa jana majira ya 3 usiku natoka senta kupiga piga story kijiweni nilikutana na vijana Sita wakiwa na Guta wamekwama karibu na Shule yetu ya kijiji na vitu walivyokuwa wamebeba ndivyo kama vile vimeibiwa Shambani kwangu usiku wa leo.
Mmoja kati ya wale Sita nahisi jana haikuwa mara yangu ya kwanza kumuona ila sikumbuki niliwahi muona wapi.
Ungelisema nini kuhusu rozali ikiwa elimu uliyonayo ni kutoka kwa akina Sheikh Mazinge na Michael?.Rozali ni plastiki ngumu
Sana.Inauma sana
HAPANA. NITANUNUA GOBOLE NDIYO DAWA YAO.Waroge mkuu, Bagamoyo sio mbali
Pole sanaLeo Asubuhi nimeenda shambani kwangu nimekuta sehemu ya mazao yangu yamevunwa na watu wasiojulikana.
Usiku wa jana majira ya 3 usiku natoka senta kupiga piga story kijiweni nilikutana na vijana Sita wakiwa na Guta wamekwama karibu na Shule yetu ya kijiji na vitu walivyokuwa wamebeba ndivyo kama vile vimeibiwa Shambani kwangu usiku wa leo.
Mmoja kati ya wale Sita nahisi jana haikuwa mara yangu ya kwanza kumuona ila sikumbuki niliwahi muona wapi.