let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
It really hurtsyameenda yooo
Shambani sio NgweaHawajaacha kimba getoni ili ukiloga lisiwapate.
Funga cctv cameraLeo Asubuhi nimeenda shambani kwangu nimekuta sehemu ya mazao yangu yamevunwa na watu wasiojulikana.
Usiku wa jana majira ya 3 usiku natoka senta kupiga piga story kijiweni nilikutana na vijana Sita wakiwa na Guta wamekwama karibu na Shule yatu ya kijiji na vitu walivyokuwa wamebeba ndivyo kama vile vimeibiwa Shambani kwangu usiku wa leo.
Mmoja kati ya wale Sita nahisi jana haikuwa mara yangu ya kwanza kumuona ila sikummbuki niliwai muona wapi.
Kumbe ndio maana wakiiba wanakunya kabisa? Kumbe ni ant-kurogwa ileHawajaacha kimba getoni ili ukiloga lisiwapate.
Tafuta neno jingine mkuu kwa hapo pekunduLeo Asubuhi nimeenda shambani kwangu nimekuta sehemu ya mazao yangu yamevunwa na watu wasiojulikana.
Kwa vipi? wakati kweli siwajui.Tafuta neno jingine mkuu kwa hapo pekundu
Hicho ni cheo cha watuKwa vipi? wakati kweli siwajui.
ndani ndani uku ilipokuwa hegemony ya Chama cha UDP zamani.Ni wapi huko? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kuna watu wamevurugwa lol.
Mimi yangu Rozali na haina hicho kipengere.wasomee albdir ustadh
Oooh. Nimekuelewa sasa.Hicho ni cheo cha watu
Nilikuta asubuhi kajinyea kinoma,kachoka,Hadi nilimuhurumia..lakini hakuna anayeiba kwangu tenaNi PM nikupe namba!
Afu nikupe kinga ya shamba!
Wakifika wanaharisha au unawakuta ahsubui
Rozali ni plastiki ngumuMimi yangu Rozali na haina hicho kipengere.