Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Ushindwe na kidumu chako cha petroli. Boss Lady ni mtani wangu wa siku nyingi. Sema tu wametufungia kule kwenye uzi wetu wa Selfika siku hizi tumekuwa kama wakimbizi. Waifu wa mjeda huyo labda kama hunitakii mema kakako miye πŸ–πŸ˜
🀣🀣🀣 bro ulivyobadili gia juu kwa juu dah!!! Mjeda yupo Darful hana uhakika wa kurudi. Kula chuma hiko!!!
Kweli unakubali toto zuri km hilo uliache hivi hivi?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unajiita Strong and Fearless afu unakutana na vi-sms vichache unachoma moto nguo? Ukikuta amemchangia na figo si utafika Umoja wa Mataifa kabisaaa
 
Bosi Ledi.

Umeanza lini kuwa kakimbaumbau jamani? Sema tu uko humble ila ungekuwa mapepe kwa uzuri huo mbona JF isingekalika? Nina folder lako lina picha zako zote ulizowahi kuweka selfika. Niwache!
Wee msukuma uzuri who which where khah πŸ€”πŸ€”πŸ€”β˜ΊοΈ!
Sio zangu zile afu nilidaunilodi sehemu sina huo Uzuri hata!
Kwani nikikufata pm utantolea nje😁!

Vibayaa hivooo namie napenda kubebishwa walakhi!!
 
🀣🀣🀣🀣 bro Shimba ya Buyenze ya kweli haya??
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£!
 
Hebu kimbilia PM chap maana huyu Lamomy kwa kuchochea chochea moto hana mpinzani. Njoo PM please πŸ˜πŸ–
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…