Una maradhi ya akili wahi mtibabu mapemaNimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.
Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi ? I donβt know what to do or how to act .
Ni aina ya maradhi ya akili psycho......Pole
But why ulishindwa kucontrol hasira
Alivorudi nimemwambia ukweli, kakasirika sijawahi kumuona akiwa na hasira vile hajasema chochote kachukua simu yake kaondoka, Jana sijalala nahangaika tu kumpigia na kupigia rafiki zake yani Sijui kaenda wapi jamani [emoji24][emoji24][emoji24]
ππAta sielewi sijalala Jana
Alivorudi Jana nilivomwambia kakasirika sana sijawahi kumuona vile, kachukua simu yake na akaondoka usiku ule ule hajarudi jamani naumia [emoji24][emoji24] na hapokei simu jamani
Anachomaje nguo za mwenzake?? Ukute mkaka alijipinda akaingia maduka ya wool worths?
Si angelia tu jamani? Kama alikuwa na hasira sana?
Ukute anachoma nguo afu ye mwenyewe ni mwenzetu wale tunapelekega boxer na saa na soksi.
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.
Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi ? I donβt know what to do or how to act .
Kweli wewe ni mstrongi na mfialesiNimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.
Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi ? I donβt know what to do or how to act .
Acha wivu bana, mtu asisherehekee guy wake mchita??2. My guy my guy!! Uko na cheti cha ndoa?
My guy alivyoeudi alimpelekea Moto wa GesiUtupe mrejesho wa my guy alivyorudi
ππ Nimecheka ulivyoshangaa eti usinambie. ππUsinambie kuwa na wewe ni kimbaumbau wallahi π³. Miaka na miaka huwa natamani kuzama PM kwako ili kuona kama yaliyomo yamo. Kama ni kimbaumbau basi pengine ndo maana huwa napata zero energy. Ila nitajihakikishia siku moja πππ
Kama tunavisirani yabidi mtuvumilie tu ikibidi kwani na sisi ipo siku tutakuwa vibonge. πβ‘οΈβ‘οΈβ‘οΈ On a serious note ni matani tu mzee mwenzangu japo ni kweli vimbaumbau mna visirani sana. Bonge kukasirika mpaka kuchoma nguo sidhani ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈπ
Ukiona K imechokwa sepa unapenda wehu aisee . How older are you??
Dah hii ni mbaya sana huyo amechokwa
Imagine unaingiziwa panga hapo kwenye mfereji wakoDah hii ni mbaya sana huyo amechokwa
Wanawake hampendan htSasa unatukana.hao wanawake wa watu wamekukosea nini dear?
Mamlaka yakuchoma.vitu vyake umepata wapi rafiki?Una hati miliki nae?
Kabla yako alikua na mtu na labda wakati wako umepita ni wakati wa wengine na yuko huru kufanya hivyo na kwa uliyoyafanya umeongeza speed ya muda wako wa kuachwa.