Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi ? I don’t know what to do or how to act .
Una maradhi ya akili wahi mtibabu mapema
 
Alivorudi nimemwambia ukweli, kakasirika sijawahi kumuona akiwa na hasira vile hajasema chochote kachukua simu yake kaondoka, Jana sijalala nahangaika tu kumpigia na kupigia rafiki zake yani Sijui kaenda wapi jamani [emoji24][emoji24][emoji24]

Acha kupigia rafiki zake unajichoresha tu
 
Jichunguze vzr ukiona mwamba anaruka ukuta lazima Kuna tofaut anaipata Kwa jirani!
 
Anachomaje nguo za mwenzake?? Ukute mkaka alijipinda akaingia maduka ya wool worths?

Si angelia tu jamani? Kama alikuwa na hasira sana?
Ukute anachoma nguo afu ye mwenyewe ni mwenzetu wale tunapelekega boxer na saa na soksi.

Anajikuta zuchu king’ang’a [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi ? I don’t know what to do or how to act .
03ab7d8497d44bc6b24fa407c73cfc47.jpg
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi ? I don’t know what to do or how to act .
Kweli wewe ni mstrongi na mfialesi
 
Usinambie kuwa na wewe ni kimbaumbau wallahi 😳. Miaka na miaka huwa natamani kuzama PM kwako ili kuona kama yaliyomo yamo. Kama ni kimbaumbau basi pengine ndo maana huwa napata zero energy. Ila nitajihakikishia siku moja 😁😁😁
😂😂 Nimecheka ulivyoshangaa eti usinambie. 😂😂
➡️➡️➡️ On a serious note ni matani tu mzee mwenzangu japo ni kweli vimbaumbau mna visirani sana. Bonge kukasirika mpaka kuchoma nguo sidhani 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🖐
Kama tunavisirani yabidi mtuvumilie tu ikibidi kwani na sisi ipo siku tutakuwa vibonge. 😂

Japo nawaza 🤔 kimbaumbau akibongeka huo ukisirani unaondoka kweli? Nadhani hizi ni tabia tu ambazo hazina uhusiano wa maumbile mzee mwenzangu.
 
Sasa unatukana.hao wanawake wa watu wamekukosea nini dear?

Mamlaka yakuchoma.vitu vyake umepata wapi rafiki?Una hati miliki nae?
Kabla yako alikua na mtu na labda wakati wako umepita ni wakati wa wengine na yuko huru kufanya hivyo na kwa uliyoyafanya umeongeza speed ya muda wako wa kuachwa.
Wanawake hampendan ht
 
Back
Top Bottom