Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 4,116
- 4,979
umeniwahi!We jamaa, kwenye pochi ya mkeo unatafuta Nini?
Nijibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeniwahi!We jamaa, kwenye pochi ya mkeo unatafuta Nini?
Nijibu
Niliwahi kusikia sehemu mwanamke akificha hivyo pedi moja bila kuonekana na mtu anakuwa hashiki mimba hata ikiwa siku ya hatari, akitaka kubeba mimba anaitoa, na ikionekana na mtu mwingine kama hivyo inakuwa haifanyi kazi tena... birth control ya mabibi wa enziSiku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.
Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.
Wajuvi wa mambo, naomba ushauri kabla sijamwambia.
Siku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.
Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.
Weeee...
Pochi ya mwanamke ni yake ila ya mwanaume ni yenu...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halina shaka hilo na usiwe na imani haba. Yamkini anakusanya aje achome kwa pamoja.Siku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.
Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.
Wajuvi wa mambo, naomba ushauri kabla sijamwambia.
Ahsante kwa Ushauri wako ChiefHalina shaka hilo na usiwe na imani haba. Yamkini anakusanya aje achome kwa pamoja.
Kinyaa gani tena! Watu wanama huko kwa mdomo na wanameza mate.unaulizaje maswali ya kinyaa wakati wa lunch? ungesubiri jioni mkuu hahahhaha
btw huyo mchafu tu hakuna uchawi hapo
Labda kasahau ila labda pia aliombwa na sangoma wake......wanaume tunalishwa matakataka Mungu atusaidie......tuwe positive ....alisahauuuYeah ni kweli.. Mwambie pia ajitahidi kuficha maana pad iliyotumika Ni uchafu, aweke mahali ambapo atakua anaziona peke yake
Jamii forum imekuwa na wavulana wengi sanaSiku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza Chochote.
Sasa majuzi tena nimekuta ameweka nyingine, nimerudia zoezi la kupiga kiberiti japo sijamwambia chochote.
Wajuvi wa mambo, naomba ushauri kabla sijamwambia.
Kwakweli tuwe tu positive.. kijana atapata wasiwasiLabda kasahau ila labda pia aliombwa na sangoma wake......wanaume tunalishwa matakataka Mungu atusaidie......tuwe positive ....alisahauuu
Huwa anaficha vizuri sana ila huyu jamaa ndiye mdukuzi,yaani anakwenda kutafuta ID kwenye pochi ya mkewe sijui wana-share.Yeah ni kweli.. Mwambie pia ajitahidi kuficha maana pad iliyotumika Ni uchafu, aweke mahali ambapo atakua anaziona peke yake
Uzi wa kule umeuona?. Umemchanganya tayari mwamba. Au ni gear tu siku hizi mabaharia wameanzisha za kuwang'oa kirahisi?.Mwambie tu anavyozikusanya asisahau kuchoma na aziweke mahali pamoja sio kila mahali anaweka..
Maana sio kila mtu anatupa kwenye dustbin