Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Mwanamke anayekupa K unavyotaka, tena wakat mwengine anakupigia simu au anakutext..


G huku chin panawashaa njooo unikute na fimbo yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Kumuacha nikazi
🙌🙌🙌🙌ile nyeusi imekolea kichwani
 
Jana kaniita et ..Halooo G, baba leo jion uje nikukate kucha

Kweli nkaenda akanikata kucha za miguu


Sasa kimbembe ninani wakuzitupa kucha,

Akaanza Au unaogopaa eehhh, niziache uzitupe mwenyewe??
Kucha tena!? Basi umekwisha oa tu awe mke mdogo
 
Mzee usihofu, huyo anaweka mbolea kwake azidi kustawi. It seems it has nothing to do with you. If there is anything, it won't impact on you, this is the reason your ancestors decided to let u see the backstage or scene behind
 
Mzee usihofu, huyo anaweka mbolea kwake azidi kustawi. It seems it has nothing to do with you. If there is anything, it won't impact on you, this is the reason your ancestors decided to let u see the backstage or scene behind
Pengine anajiwekea Internal Defence System yake, dhidi ya makombora ya waruka na ungo. Endelea kukaza. Ila ukiona unaisahau familia yako, break the bond with North Korea.
 
Hawa watu balaa, hapo nadhan mpango wake ni kukamata jumla

Kitendo chamm kuziona, tayari masharit yameharibika
MGANGA KASEMA KAMA IMEWEKWA KWENYE CHAKULA ALAFU HAIJALIWA NDIYO IMEHARIBIKA... BADO NZIMA HIZO. USISAHAU NA AILIYOWEKA KATIKA PAPUCHI YAKE, NA ILE YA KWENYE MAJI YA KUOGA
 
Pengine anajiwekea Internal Defence System yake, dhidi ya makombora ya waruka na ungo. Endelea kukaza. Ila ukiona unaisahau familia yako, break the bond with North Korea.
WATU NDIYO WATAJUA MUDA HUO YEYE ATAKUWA ANALIA HATA AKIAMBIWA LEO SIKUPI MZIGO
 
Jana kaniita et ..Halooo G, baba leo jion uje nikukate kucha

Kweli nkaenda akanikata kucha za miguu


Sasa kimbembe ninani wakuzitupa kucha,

Akaanza Au unaogopaa eehhh, niziache uzitupe mwenyewe??


Nikamkaziaa... Eehhhh kuna watu wanaroga sana ,akishapata kucha zako anakurogaa.


Basi dem akaanza kucheka weeeee


Kwa ufupi, kinachonishangaza yaaan siku hizi haishi kunitambulisha kwa wanawake wenzake..Mume wangu..mume wangu..mume wanguuu

Yaaan Huyi Demu anajiweza tu vzuri ,sasa ananiambia et Ameanza kujenga, kwahiyo anataka kila kitu nisimame mimi kama Mume wake

Nikastukaaa


Kuna siku nilikua Ofisin kwake, sasa wakaja vijana wawili wanataka kuweka hela milion moja, wakanza maneno mengi weee nikajua hawa vibaka.


Nikawatisha ,wakakimbia, Ikabidi nitoke nao nduki, nikafanikiwa kumkamata mmoja, Piga makofi ,nikamrudisha mpka ofisin, akaanza kulia lia weee, nikapeleka kituo cha polis.


Basi Demu huyu, siku nzima aakawa anawapigia ndugu zake, nilitaka kutapeliwaa, Mume wangu kanisaidiaa, kawakimbizaa, kakamata mmoja

Yaan kila simu anawaambia Mume wangu G.


Kiukweli mpaka najistukia, namm sina mpango wowote naye, sababu nina Familia.
Acha upumbavu mkuu,,,, mchepuko anakukata vipi Kucha,,,,,Tumia akili kufikiri au huwa anakupa mkund**** Ndo unaokuchanganya akili
 
Umeshalishwa limbwata, tafuta mtu akutapishe kwa madawa.
Keshafel , kwanza soon nampiga chini,

Demu keshaanza kuniita Mume. Mume mume, mara nn

Yaan ananiishi kama mumewe, mawivu ya kisengeee, anataka popote napokua nmjulisheee, akiwa nandugu zake anapiga simu mumee wangu

Nmemchokaa
 
Keshafel , kwanza soon nampiga chini,

Demu keshaanza kuniita Mume. Mume mume, mara nn

Yaan ananiishi kama mumewe, mawivu ya kisengeee, anataka popote napokua nmjulisheee, akiwa nandugu zake anapiga simu mumee wangu

Nmemchokaa
Huyu ndiyo yule mwalimu anayeiba kura??
Kumbe ni mshirikina?
 
Back
Top Bottom