Nimekutana na binadamu wa ajabu leo


Ulikosea kitu kimoja ... unge TWANGA FOTO na ku selfika nae!
 
Mama yangu ni wewe ila baba ndio simjui

Kumbe hata mama'ko humjuwi! Pole sana.

Ungetumia fursa ya kwenda uwanja wa Taifa ukaomba wakutangazie kumtafuta baba'ko.

You never know labda ni katika wapenda vya bure waliojazana huko.
 
Kumbe hata mama'ko humjuwi! Pole sana.

Ungetumia fursa ya kwenda uwanja wa Taifa ukaomba wakutangazie kumtafuta baba'ko.

You never know labda ni katika wapenda vya bure waliojazana huko.

Acheni kutuchekesha humu jamani,cna mbavu mie
 
We jamaa bwege kweli sasa kilichokufanya unikimbie nini?
 
Kumbe hata mama'ko humjuwi! Pole sana.

Ungetumia fursa ya kwenda uwanja wa Taifa ukaomba wakutangazie kumtafuta baba'ko.

You never know labda ni katika wapenda vya bure waliojazana huko.
Mama naomba unionyeshe baba yangu au ni zile show zako za chap chap za kuchanganya wanaume zilifanya nipatikane?
 
Wadau mimi sinywi pombe wala sivuti bangi .Ila kwa mlioongea mambo hayo najua mmetimiza unabii wa Yesu kuwa mtu husema yaujazayo moyo wake.
Hiyo nibangi acha ubishi mwisho utaona picha yanyerere kwenye kitanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…