Nimekutana na binti mrembo sikutegemea awe anakaa Mbagala


Kutokana namaelezo yako haujaishi mbezi bali umeishi kawe mkuu. Unaijua rainbow?
 
Kutokana namaelezo yako haujaishi mbezi bali umeishi kawe mkuu. Unaijua rainbow?
Kwani lote lile siyo jimbo la Kawe?. Nimeondoka Mbezi beach tumejenga Kijichi tumehamia. Nyumba Mbezi beach tumeuza ilikuwa karibu na uwanja wa shabaha, karibu na iliyokuwa Club Oasis kama unaikumbuka.
 
Kuna mmoja nilimtongoza fb akaniambia anaishi daviscorner temeke nikampotezea
We Kibwengo kabla hujatongoza mtoto wa mtu uliza anakoishi...

By the way, vile visamaki na mihogo na machachandu ya pale coco beach Dar, kuna wa Mbagala au Devis corner anakwenda kula pale..??
 
Achana na watoto waliopanga boys quarter.
 
Acha woga njemba. Utamu ule ule na siajabu zaidi kuliko ushuani. Fanya hima uumpe haki yake. Hutaki? Toa contacts. Mkulima hachaguwi jembe Mwanaume.
 
Champagnee na sisi tunaoishi bondeni Johansberg tunaiona masaki na osterbay kama jalala tuu wanakoishi watu wasiojiwezaπŸ€£πŸ˜‡πŸ˜œπŸ€ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…