Nimekutana na binti mrembo sikutegemea awe anakaa Mbagala

Nimekutana na binti mrembo sikutegemea awe anakaa Mbagala

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani Mbagala kuna nn? Nyie watu acheni dharau khaah.
 
Mbagala,Buza,Manzese,Buguruni,Mwananyamala,Tandale na tandika lao moja kuna vi slay quen vingi vimekaa kimitego mitego vimejipindia ile mbaya unakuta vimeanza kupigwa bomba vikiwa darasa la tatu,demu akiniambia anaishi maeneo hayo napiga kwa tahadhari sana.
 
Ndugu zangu mambo vipi.

Kitambo kidogo ila nigga nipo na hustle zinaendelea kama kawaida sasa katika pitapita zangu nilikutana na hii pisi asee ina trakoooo hatari afu nyeupe huu ndo ugonjwa wangu.

Kama kawaida nikaomba namba freshy zikapita kama siku2 sasa jana nikaikumbuka nikaipandia kwa air. Tukapigq story sana sana yani kwa muda mchache tulishatengeneza chemistry nzuri sana.

Nilimwuliza unaishi wapi jibu lake ndo liliniacha hoi ikabid nivute pumzi kwanza. Alinambia naishi mbagala yaani daah hapa ndo mzuka ulikata ghafula. Nilitegemea yule mrembo angenambia anakaa mbezi beach, masaki, survey, mikocheni kutokana na alivo. Yaani pisi za huko sijui magomeni, kigogo sijui tandika yaani daah huwa siwaelewi kabisa.

Amenitext leo asbh hata sijajibu kwakweli mnaotoka na pisi za hayo maeneo nipeni experience zenu.
Hao noma sana. Unapigwa mande unajiona

Kiboko yao ni sisi wazee wa Chamazi.

Leta namba nikamkomeshe shinzy huyo[emoji2957][emoji49][emoji49][emoji49]
 
Ndugu zangu mambo vipi.

Kitambo kidogo ila nigga nipo na hustle zinaendelea kama kawaida sasa katika pitapita zangu nilikutana na hii pisi asee ina trakoooo hatari afu nyeupe huu ndo ugonjwa wangu.

Kama kawaida nikaomba namba freshy zikapita kama siku2 sasa jana nikaikumbuka nikaipandia kwa air. Tukapigq story sana sana yani kwa muda mchache tulishatengeneza chemistry nzuri sana.

Nilimwuliza unaishi wapi jibu lake ndo liliniacha hoi ikabid nivute pumzi kwanza. Alinambia naishi mbagala yaani daah hapa ndo mzuka ulikata ghafula. Nilitegemea yule mrembo angenambia anakaa mbezi beach, masaki, survey, mikocheni kutokana na alivo. Yaani pisi za huko sijui magomeni, kigogo sijui tandika yaani daah huwa siwaelewi kabisa.

Amenitext leo asbh hata sijajibu kwakweli mnaotoka na pisi za hayo maeneo nipeni experience zenu.
Acha dharau ndg,kuishi Chanika usitudharau wakaazi wa Mbagala.
 
Back
Top Bottom