Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheza na chemistry mengine achana nayo muhimu chemical reaction iweze kupatikana🏃😄.Chemistry Nzuri
Tunangoja Thread Yako Utakayoileta
Lazima Mleta Mada Atakuja Na Thread MpyaCheza na chemistry mengine achana nayo muhimu chemical reaction iweze kupatikana🏃😄.
Wambagala mbona mnalalama, mthibitishieni Kwa mitazamo hiyo kachemka 🤔Achaga madharau na maeneo ya watu kwa sababu ya status ya familia yako
Ajabu na kweli unaweza Kuta yupo burigi⛹️.Utakuta mtoa mada yupo Kijiji fulani huko mkoani.
Alisalia na manyoya😄[emoji28][emoji28][emoji28]
Yalikukuta mzee
Wapo waliokamatia mawe mkononi wakisubiria.😄Lazima Mleta Mada Atakuja Na Thread Mpya
Atapigwa Atachakaa Tu
Utakuta mtoa mada yupo Kijiji fulani huko mkoani.
Nyie ndio.mnafundisha dada zetu uongo.
sasa hapo ulitaka akudanganye ?
Hao noma sana. Unapigwa mande unajionaNdugu zangu mambo vipi.
Kitambo kidogo ila nigga nipo na hustle zinaendelea kama kawaida sasa katika pitapita zangu nilikutana na hii pisi asee ina trakoooo hatari afu nyeupe huu ndo ugonjwa wangu.
Kama kawaida nikaomba namba freshy zikapita kama siku2 sasa jana nikaikumbuka nikaipandia kwa air. Tukapigq story sana sana yani kwa muda mchache tulishatengeneza chemistry nzuri sana.
Nilimwuliza unaishi wapi jibu lake ndo liliniacha hoi ikabid nivute pumzi kwanza. Alinambia naishi mbagala yaani daah hapa ndo mzuka ulikata ghafula. Nilitegemea yule mrembo angenambia anakaa mbezi beach, masaki, survey, mikocheni kutokana na alivo. Yaani pisi za huko sijui magomeni, kigogo sijui tandika yaani daah huwa siwaelewi kabisa.
Amenitext leo asbh hata sijajibu kwakweli mnaotoka na pisi za hayo maeneo nipeni experience zenu.
Waya ya temeke haifai kuishi binadamuHajui huyo ana angalia barabarani, kijichi kupo vizuri sana kuna viwanja mpaka bilion hutaki nenda bagamoyo
Mbagala hata bure sikai bora nikae kibaha au mlandizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani Mbagala kuna nn? Nyie watu acheni dharau khaah.
[emoji848][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila kijichi pako vizuri lakini upande kanisa la RCWaya ya temeke haifai kuishi binadamu
Acha dharau ndg,kuishi Chanika usitudharau wakaazi wa Mbagala.Ndugu zangu mambo vipi.
Kitambo kidogo ila nigga nipo na hustle zinaendelea kama kawaida sasa katika pitapita zangu nilikutana na hii pisi asee ina trakoooo hatari afu nyeupe huu ndo ugonjwa wangu.
Kama kawaida nikaomba namba freshy zikapita kama siku2 sasa jana nikaikumbuka nikaipandia kwa air. Tukapigq story sana sana yani kwa muda mchache tulishatengeneza chemistry nzuri sana.
Nilimwuliza unaishi wapi jibu lake ndo liliniacha hoi ikabid nivute pumzi kwanza. Alinambia naishi mbagala yaani daah hapa ndo mzuka ulikata ghafula. Nilitegemea yule mrembo angenambia anakaa mbezi beach, masaki, survey, mikocheni kutokana na alivo. Yaani pisi za huko sijui magomeni, kigogo sijui tandika yaani daah huwa siwaelewi kabisa.
Amenitext leo asbh hata sijajibu kwakweli mnaotoka na pisi za hayo maeneo nipeni experience zenu.